Mwili unaupongeza kila siku sio 😃 😀Mimi nagusa kila siku nikiwa free bwashee, toka nimeingia kwenye uhuru wa kipato siwazi kabisa😅😅 na hii comment yangu kuna nyumbu watatoka povu😛😛
Sure ka madam kangu ka rafikiUnaniamini 100%?
Huna akiliSure ka madam kangu ka rafiki
Najua ndio tusi lako lililo bakiaHuna akili
Shindii acha kujiongezea umri🤣🤣ephen_ Vincenzo Jr Chica Gee Mahondaw Atoto binti kiziwi
Now nimepunguza kg 3 kwa miezi miwili urefu sm 187 umri 39, kg 77 now .
View attachment 3485685
Shindii ndio umri wangu halisi , mlevi mimi🤣Shindii acha kujiongezea umri🤣🤣
Thubutu yako. Huvuki 33.Shindii ndio umri wangu halisi , mlevi mimi🤣
😁 kwahiyo unajidai, mimi sijawahi kufika kg 54 toka nizaliwe😎ephen_ Vincenzo Jr Chica Gee Mahondaw Atoto binti kiziwi
Now nimepunguza kg 3 kwa miezi miwili urefu sm 187 umri 39, kg 77 now .
View attachment 3485685
Hahaha hapo kwa umri wako upo vizuri rasi😁 kwahiyo unajidai, mimi sijawahi kufika kg 54 toka nizaliwe😎
Et eeh, basi ngoja nipambane nisije kuwa kibonge mwepesi 😂😂Hahaha hapo kwa umri wako upo vizuri rasi
Kitambi noma😅Et eeh, basi ngoja nipambane nisije kuwa kibonge mwepesi 😂😂
Sijawahi kuwa na kitambi 😊😁Kitambi noma😅
Mimi juzi kati nilianza kujiachia nikapata kakitambi kisa pombe na nyama nilipanic mno ila now nimekikata fasta na nimeachana na nyama na wanga kabisaSijawahi kuwa na kitambi 😊😁
😁😁😁, inaonekana umefanya mazoezi mazito kitambi ni nomaMimi juzi kati nilianza kujiachia nikapata kakitambi kisa pombe na nyama nilipanic mno ila now nimekikata fasta na nimeachana na nyama na wanga kabisa
Walaa mimi toka kidato cha pili mazoezi ni sehemu yangu ya maisha .😁😁😁, inaonekana umefanya mazoezi mazito kitambi ni noma
Onhoo kumbe! Hongera zako aisee maana mambo ya kuwa kibonge mwepesi siyo powaWalaa mimi toka kidato cha pili mazoezi ni sehemu yangu ya maisha ,ndio maana nikikutana na mtu nikamwambia nina 39 anashangaa
Chapu basiSawaa ni shwaa