min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,436
- 127,830
Wamekaaje?Nipo hospital kuna wanaume wawili pozi walilokaa aibu naona mimi.
Wamekaaje?Nipo hospital kuna wanaume wawili pozi walilokaa aibu naona mimi.
Hahahah tupia hilo hekalu na sisi tusalimo humoMama Wachungaji haturuhusiwi kujianika, miili yetu ni hekalu la bwana😅
Usinikumbushe machungu! Jana nimelia Bassel kaniliza😀😀😃😃 Siku za mwisho hizi aisee vipi jana Basel kafanyaje maana jana nimeshinda nje ya mji kidogo
SitakiWamekaaje?
UsijianikeMama Wachungaji haturuhusiwi kujianika, miili yetu ni hekalu la bwana😅
Nyie we na nani? Ukibaki mwenyew utasema nitupie japo mguu vingine ni mali ya bwana..Hahahah tupia hilo hekalu na sisi tusalimo humo
Una miguu ya kutupia au ni tufito mama mchunga🤣Nyie we na nani? Ukibaki mwenyew utasema nitupie japo mguu vingine ni mali ya bwana..
Yani ngoja nikipiga picha nimevaa kama gunia, ana bahati kanisani kwetu Tunavaa suruali pia..Usijianike
Weka picha yenye utukufu mtu akiona anasema yes huyu ni ma mch...
😃😃
Tufito nmekuwa mchaga🙄 mguu upo👌🏽Una miguu ya kutupia au ni tufito mama mchunga🤣
Wamw kunja nne af wana angaliana usoni sio 🤣Nipo hospital kuna wanaume wawili pozi walilokaa aibu naona mimi.
Acha hizo na wewe😉Usijianike
Weka picha yenye utukufu mtu akiona anasema yes huyu ni ma mch...
😃😃
HahahaYani ngoja nikipiga picha nimevaa kama gunia, ana bahati kanisani kwetu Tunavaa suruali pia..
Si km zile zangu atawekq usijaliAcha hizo na wewe😉
Dah ya utukufu ata kupiga nayo picha kimbembe mwangu🤭Hahaha
Sisi nilipo ss hatuvai hawaruhusu
Ila nilikotokq tulikuwa tunava😄😄
Hapana sio ya gunia najua ipo ya utikufu
Duh nipo naangalia marudio hapaUsinikumbushe machungu! Jana nimelia Bassel kaniliza
Kama zile zako nzuri sana , hapo sawa ila ageuke kidogo .Si km zile zangu atawekq usijali
Nampa muongozo😁😁
Kumbe mnene 🤭Urefu wangu natakiwa kupunguza kg 20😎
View attachment 3485862