MhmmmmNitaselfika wikiend then nafuta haraka
Mambo 😎
Ashiki zimemponza sema Jawad nae anampenda ndio maana anamfata fata sema Basel kanichekesha Sana😀😀😀Poa! Faith mjinga kaniudhi
😆😆😆Yeah hapa nimelewa mno , hiyo ndio miaka yangu halisi , wanasema pombe haidanganyi ile 33 ni uongo aseee
Msamehe 😀😀Wewe mwenyewe una matusi
Nitampasua mimiMsamehe 😀😀
Sure nime amua kutumia matusi coz nimegundua hawa digi digi wa humu bila kuwatukana hawafurahi , sasa kama juzi kuna mbwiga sijui hata katokea wapi kwanz I'd yake ya 2007 huko eti ananitisha ananifahamu na anaomba vita na mimi na familia yangu haitakua salama , ile siku nilimtukana vibaya sana na mods wangeona kabla sijafuta ingekua kisanga🤣Wewe mwenyewe una matusi
😀😀😀Sure nime amua kutumia matusi coz nimegundua hawa digi digi wa humu bila kuwatukana hawafurahi , sasa kama juzi kuna mbwiga sijui hata katokea wapi kwanz I'd yake ya 2007 huko eti ananitisha ananifahamu na anaomba vita na mimi na familia yangu haitakua salama , ile siku nilimtukana vibaya sana na mods wangeona kabla sijafuta ingekua kisanga🤣
Seran kalokole kaa mbali nitakutengua kiuno tafadhali 😅
Una mikwara kama fei 😀😀😀Nitampasua mimi
Sa mi nmefanyaje jamn 😆Seran kalokole kaa mbali nitakutengua kiuno tafadhali 😅
Kg3 kwa mwez mmoja nyingi sana bwashee.... unless unapiga sana tizi au uliumwa.....punguza kamnyweso 😃 😀ephen_ Vincenzo Jr Chica Gee Mahondaw Atoto binti kiziwi
Now nimepunguza kg 3 kwa miezi miwili urefu sm 187 umri 39, kg 77 now .
View attachment 3485685
Kaka mimi napiga tizi kama chizi , pia nakula pombe na wewe hauwezi gundua kama mimi nakula pombe kwa mtazamo tuKg3 kwa mwez mmoja nyingi sana bwashee.... unless unapiga sana tizi au uliumwa.....punguza kamnyweso 😃 😀
😀😃😃😀😀😀😀Katika mtu namwamini humu kwa 100% kama mdogo wangu ni ephen_ hata nilewe vipi nakapotezea tu ka rafiki kangu haka
Sio mbaya kama unapiga tizi..... kwa urefu huo na hizo kgs bado hauko pabaya.... ! Mm Mara chache mno wkend naweza gusa moja baridi moja moto....hapa nna miez sijagusa 😃Kaka mimi napiga tizi kama chizi , pia nakula pombe na wewe hauwezi gundua kama mimi nakula pombe kwa mtazamo tu