Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,942
😹😹😹 Unataka kumkimbizia kwa kina Jigga..!!Naadeka kweli ngoja nikuangalizie mmoja hapa nikiwa nae uone anavyofanya.
Bora ikaumize wahuni wa mbele sio makanjanja Hawa wa bongo.
😹😹😹 Unataka kumkimbizia kwa kina Jigga..!!Naadeka kweli ngoja nikuangalizie mmoja hapa nikiwa nae uone anavyofanya.
Bora ikaumize wahuni wa mbele sio makanjanja Hawa wa bongo.
Hio ndio ilikua style;Nyingi 😹
Sema zinachekesha wallahi 😹😹😹
Ilikuwa mtu ukimsifia kwenye comments anakufata pm kukushukuru na kuomba namba..!! Sa ndo nini? 😝
To be honest paja la mwanamke mweusi na paja la mweupeeeee kwa SISI wanaume tutachagua PAJA JEUPEEE😹😹 Braza waiti mzima?
Sasa black woman tumekukosea nini??
Mbona mnaleta ubaguzi 🤣😹
Namba huko pm sijawahi kutoa kwakweli 😹😹Hio ndio ilikua style;
zamani hata number ulikua hausumbuki sana!!
Sijui nani alikusanua.
si umemuona.😹😹😹 Unataka kumkimbizia kwa kina Jigga..!!
Auntie msumbufu huyu lol!si umemuona.View attachment 3475774
Dah janja una mtoto mzuri, ngoja nisubirie huenda nita kuwa na fainali nzuri in my late 40.si umemuona.
Kwahiyo weusi tukaungane na weusi wenzetu 😹😹To be honest paja la mwanamke mweusi na paja la mweupeeeee kwa SISI wanaume tutachagua PAJA JEUPEEE
Ila si unajua Simba akisosa nyama anakulaga hata majanii 😂🤣😂
Hahaha mama Ake akionaga ndio hua anapagawa!! Alijua ntashindwa na sitatoboa.Auntie msumbufu huyu lol!
Kwahiyo anakusuka baba yake? 😹😹
Mwambie aje anisuke mimi auntiee yake 😍
Nimependa bond yenu, ingekuwa mibaba mingine michizi ingeleta ukoloni wa kishamba..!!
Hapo na wewe siku moja unamfumua nywele zake na kumparua mba kichwani..!! 🥰🥰
Kachambue maparage hukoDah janja una mtoto mzuri, ngoja nisubirie huenda nita kuwa na fainali nzuri in my late 40.
Janja naona uko na pisi yako, hapa sasa nime kubamba 20+ later naijia mchumba.
Sasa chino nikifa nani atakuja kuwajulisha Wana jfNamba huko pm sijawahi kutoa kwakweli 😹😹
Hamna aliyenisanua niliona kero tu.
😹😹😹Sasa chino nikifa nani atakuja kuwajulisha Wana jf
Amini kwamba damu yangu.
Unalea peke yako?Hahaha mama Ake akionaga ndio hua anapagawa!! Alijua ntashindwa na sitatoboa.
Labda kwa sababu kwa Sasa yupo huyu.
Nitalifanyia kazi worry not 😀Amini kwamba damu yangu.
Janja acha kutia huruma, we ni dogo langu lea kinda akue kiaskari.Hahaha mama Ake akionaga ndio hua anapagawa!! Alijua ntashindwa na sitatoboa.
Labda kwa sababu kwa Sasa yupo huyu.
we nae kama cuba hupajui, hapo Kapachino ana kuseti, janja ana mbinu za miaka hiyo 😂😂Unalea peke yako?
Alikuachia kwa matakwa yake au ni wewe uliamua hivyo??
Lakini kwa umri huo mtoto alitakiwa kuishi na mama yake chino..!!
Jitahidi basi mzike tofauti zenu ili mtoto awe huru kwa wazazi wake wote..!!
Awe anaenda na kwa mama yake bila tatizo, msimuonyeshe drama zenu kwa afya ya ukuaji wake..!!
😊😊😊 Honesty siku IZIII ndio nime adopt ila sinaga mzuka kabisa kabisa Kuna mkurya mmoja mkorofi nili date nae zamani ni mweusi TIII ila ana hipsi na tako la kwenda good enough last weekend kaolewa harusi nili mtolea na mchango Mimi na yeye ni washikaji ila sio wa kupasha viporoo🤣Kwahiyo weusi tukaungane na weusi wenzetu 😹😹
Sasa paja linahusiana nini na rangi? 🥹😹
Mchagua jembe si mkulima