Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyingi 😹
Sema zinachekesha wallahi 😹😹😹

Ilikuwa mtu ukimsifia kwenye comments anakufata pm kukushukuru na kuomba namba..!! Sa ndo nini? 😝
Hio ndio ilikua style;

zamani hata number ulikua hausumbuki sana!!

Sijui nani alikusanua.
 
😹😹 Braza waiti mzima?
Sasa black woman tumekukosea nini??
Mbona mnaleta ubaguzi 🤣😹
To be honest paja la mwanamke mweusi na paja la mweupeeeee kwa SISI wanaume tutachagua PAJA JEUPEEE

Ila si unajua Simba akisosa nyama anakulaga hata majanii 😂🤣😂
 
To be honest paja la mwanamke mweusi na paja la mweupeeeee kwa SISI wanaume tutachagua PAJA JEUPEEE

Ila si unajua Simba akisosa nyama anakulaga hata majanii 😂🤣😂
Kwahiyo weusi tukaungane na weusi wenzetu 😹😹

Sasa paja linahusiana nini na rangi? 🥹😹

Mchagua jembe si mkulima
 
Auntie msumbufu huyu lol!
Kwahiyo anakusuka baba yake? 😹😹

Mwambie aje anisuke mimi auntiee yake 😍

Nimependa bond yenu, ingekuwa mibaba mingine michizi ingeleta ukoloni wa kishamba..!!

Hapo na wewe siku moja unamfumua nywele zake na kumparua mba kichwani..!! 🥰🥰
Hahaha mama Ake akionaga ndio hua anapagawa!! Alijua ntashindwa na sitatoboa.

Labda kwa sababu kwa Sasa yupo huyu.
 
Dah janja una mtoto mzuri, ngoja nisubirie huenda nita kuwa na fainali nzuri in my late 40.
Kachambue maparage huko

Screenshot_20250919-105837.jpg
 
Hahaha mama Ake akionaga ndio hua anapagawa!! Alijua ntashindwa na sitatoboa.

Labda kwa sababu kwa Sasa yupo huyu.
Unalea peke yako?
Alikuachia kwa matakwa yake au ni wewe uliamua hivyo??

Lakini kwa umri huo mtoto alitakiwa kuishi na mama yake chino..!!
Jitahidi basi mzike tofauti zenu ili mtoto awe huru kwa wazazi wake wote..!!

Awe anaenda na kwa mama yake bila tatizo, msimuonyeshe drama zenu kwa afya ya ukuaji wake..!!
 
Unalea peke yako?
Alikuachia kwa matakwa yake au ni wewe uliamua hivyo??

Lakini kwa umri huo mtoto alitakiwa kuishi na mama yake chino..!!
Jitahidi basi mzike tofauti zenu ili mtoto awe huru kwa wazazi wake wote..!!

Awe anaenda na kwa mama yake bila tatizo, msimuonyeshe drama zenu kwa afya ya ukuaji wake..!!
we nae kama cuba hupajui, hapo Kapachino ana kuseti, janja ana mbinu za miaka hiyo 😂😂
 
Kwahiyo weusi tukaungane na weusi wenzetu 😹😹

Sasa paja linahusiana nini na rangi? 🥹😹

Mchagua jembe si mkulima
😊😊😊 Honesty siku IZIII ndio nime adopt ila sinaga mzuka kabisa kabisa Kuna mkurya mmoja mkorofi nili date nae zamani ni mweusi TIII ila ana hipsi na tako la kwenda good enough last weekend kaolewa harusi nili mtolea na mchango Mimi na yeye ni washikaji ila sio wa kupasha viporoo🤣

Nimecheka kimasai 😂🤣
 
Back
Top Bottom