Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,164
- 95,919
Kumbe janja we mshamba ehh, ndio maana uli pigwa kwa kuuziwa maji eti ndigo juicekabali yangu!!! Nisipokuona naishiwa power.
Kumbe janja we mshamba ehh, ndio maana uli pigwa kwa kuuziwa maji eti ndigo juicekabali yangu!!! Nisipokuona naishiwa power.
😹😹😹 Ila pm ilivyokua wazi nilikua nashuhudia vituko sana..!!hahaha!! Afu ujue kipindi una kamba mguuni ilikuwa wazi kabisa sijui nilifeli wapi kipindi kile.
Wasiojulikana jau sana wanafanya nchi iwe ya wasiwasi wakati wote..!!Wasiojulikana Kuna mda wanafanya tuwaze sivyo ndivyo!
Nikasema au huyu cute ni shyrose mwanafunzi wa chuo mbeya.
Si kawaida yake hii!
Usipokuwepo una notice dk 1 tu.
hahaha hapa nipige tu uwezavyo!Kumbe janja we mshamba ehh, ndio maana uli pigwa kwa kuuziwa maji eti ndigo juice
Maporini mwanakwetu 😹Ulipotelea wapi kwani?
Acha kumfundisha tabia mbaya kipenzi changu 😹Kumbe janja we mshamba ehh, ndio maana uli pigwa kwa kuuziwa maji eti ndigo juice
Acha kulia lia janja, vita hii uli ianzisha mwenyewe. Mimi nafanya kuimalizia usilie dogohahaha hapa nipige tu uwezavyo!
Sisi nipipo tutakutana
Chino ali jikuta mwambwa mara gangster, kumbe kunguru tu😅😂Acha kumfundisha tabia mbaya kipenzi changu 😹
Anakusalimia sana!!Pole baba mshunuu 😍
Nitakupa email uwe unanicheck huko km sipo active JF
Ntakujaza tu kwenye mfumo we tambaAcha kulia lia janja, vita hii uli ianzisha mwenyewe. Mimi nafanya kuimalizia usilie dogo
😍😍🥰
Umejuaje!! Aisee😍😍🥰
Auntie yangu mshunuuu 😘😘
Yuko wapi? Namlipia pesa kwa Ade akasuke mwambie..!!
Halafu Lina mapozi 😊
Anadeka sana huyu baby girl 🥰
hahaha!!😹😹😹 Ila pm ilivyokua wazi nilikua nashuhudia vituko sana..!!
Kuna member mmoja alinishushia li-CV lake nishindwe mimi..!! 😹
Alijileta mzima mzima, nikamjibu kistaarabu sana sihitaji mpenzi ila alinichukia mpk leo. Hata nikimkwoti comments zake ananimind ila kunijibu hawezi 😹😹😹
Waungwana wana hasira sana ndiomana nikafunga pm.
Kwa kujikuta pastor kumbe mshirikina, anyway niongeze kwenye list ya watakatifu.hahaha!!
Ulikua unapokea pm ngapi?
Na zote ulikua unachomoa? Mimi na mwanangu sumbai tu ndio hatukuja.
Sisi waungwana sana.
Janja punguza wenge, si wengine tuna kupasua bila hurumaNtakujaza tu kwenye mfumo we tamba
Si nimemuona hapo 😹Umejuaje!! Aisee
Astaafir llah.Kwa kujikuta pastor kumbe mshirikina, anyway niongeze kwenye list ya watakatifu.
Nyingi 😹hahaha!!
Ulikua unapokea pm ngapi?
Na zote ulikua unachomoa? Mimi na mwanangu sumbai tu ndio hatukuja.
Sisi waungwana sana.
Naadeka kweli ngoja nikuangalizie mmoja hapa nikiwa nae uone anavyofanya.Si nimemuona hapo 😹
Ila una mtoto mzuri sana chinno 😍
Hiyo pisi itaumiza vichwa vya wahuni wa baadaye 😹