Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pitia simu anaongea na mama Ake fresh na hasa sikuizi ndio anaongea sana maana mama Ake nae amekua na juhudi za kupiga simu. Nafsi yake imekunjuka sikuhizi mpaka ada ana changia kwa kiasi chake.( Ila ana miaka miwili hajamuona).

hahahaha siku nami ntaandika mkasa wangu jf story. Wakusisimua huo.
Rudianeni mlee binti yenu.
Mi nachukia watu wanaoachana wakiwa tayari na mtoto…!!

Hivi mnajua km mnawatesa watoto?
 
Sio kweriiiii ni scenerio unaweza mkakutana na mtu mka Date bila kujua..

Mimi ni mpole sana dats ibumex nilipo weka self yangu aliligundua unajua yule mkurya alikua ni mkorofi na WIVU ulio pitiliza anaweza anzisha UGOMVII USIO na maana Wala kichwa Wala miguu..

Imagine Mimi nakua cool simjibu au nam Fanya. A cool down baadae anakuja kunambia AM 4 REAL SIJAWAI KUONA MWANAUME KAMA WEWE YOUR A REAL GENTLEMAN UNAVUMILIA MAPUNGUFU YANGU.

Sasa MWANAUME anaitajii utulivu Sasa kwenye stress hakaiiiii 😊
Dr buana 😹
Kwahiyo hapo point yako ipi?
 
Back
Top Bottom