Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,943
Rudianeni mlee binti yenu.Pitia simu anaongea na mama Ake fresh na hasa sikuizi ndio anaongea sana maana mama Ake nae amekua na juhudi za kupiga simu. Nafsi yake imekunjuka sikuhizi mpaka ada ana changia kwa kiasi chake.( Ila ana miaka miwili hajamuona).
hahahaha siku nami ntaandika mkasa wangu jf story. Wakusisimua huo.
Mi nachukia watu wanaoachana wakiwa tayari na mtoto…!!
Hivi mnajua km mnawatesa watoto?