Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,785
- 27,214
Malizia tu, Mangi wa kishua 😂Mimi ndio mangi😅
Malizia tu, Mangi wa kishua 😂Mimi ndio mangi😅
Yeah ndio maana nikupendaga😅
Nimemaliza😅
Safisha safisha baada ya kamyweso 🤣Nimemaliza😅
Sio poa aseee, nimekunywa wine tu ila imeniendesha vibya sana😅Safisha safisha baada ya kamyweso 🤣
Babu kijana, salimia bibi aiseeh!
Usikute umekunywa glass sita 🤣Sio poa aseee, nimekunywa wine tu ila imeniendesha vibya sana😅
Umejuaje 😅Usikute umekunywa glass sita 🤣
Zimefika Mjukuu, nikaona niwape Vijana picha ya mwaka 47 🤗Babu kijana, salimia bibi aiseeh!
Nawajua wanywaji 🍷Umejuaje 😅
Asante babu, pandisha basi camera na usoni tuone ulivyopendeza 😅Zimefika Mjukuu, nikaona niwape Vijana picha ya mwaka 47 🤗
Mjukuu, sio rahisi kupata picha ya juu, maana ni miaka mingi imepita tangu nipige hiyo picha 😜Asante babu, pandisha basi camera na usoni tuone ulivyopendeza 😅
Sawa babu, acha tusubiri 😅Mjukuu, sio rahisi kupata picha ya juu, maana ni miaka mingi imepita tangu nipige hiyo picha 😜
Anyways, nikitoka hapa Mafao house nitapandisha camera tupate picha ya juu 🤗
mtaa gan huu hapa duniani🤗Karibu vyakula vya mtaani
Huu mtaa jina lake gumu kidogomtaa gan huu hapa duniani🤗
ebu nisimulie radha ya hilo yai mi naona kama halijaiva vileHuu mtaa jina lake gumu kidogo