Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

1757779366472.jpg
 
Habari zenu wakuu, mi ni yule kijana mwanamitindo, nitaachia kazi yangu kwa mara ya kwanza tarehe7 oktoba 2025 inshaallah. Nahitaji sapoti kutoka kwenu wakuu, mungu awe nanyi Amina🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🙏🙏,save the date
Hongera Kwa hatua hiyo Mkuu!

Kama hautajali, ningependa nifahamu hizo kazi zako zinahusiana na mavazi ama nini?


Kila la heri though 👏👏👏
 
Hongera Kwa hatua hiyo Mkuu!

Kama hautajali, ningependa nifahamu hizo kazi zako zinahusiana na mavazi ama nini?


Kila la heri though 👏👏👏
Hapana mkuu nilikua na management tuka shindwana, sababu mashrti niliangalia future nikaona Hawa watan chelewesha, nijisimamie mwenyewe, fashion design ni gharama Kuna vitu natakiwa ninunue na vitendea kazi ikawa ngumu, hivo nikaona nianze na modelling kwanza mengine baadae
 
Hapana mkuu nilikua na management tuka shindwana, sababu mashrti niliangalia future nikaona Hawa watan chelewesha, nijisimamie mwenyewe, fashion design ni gharama Kuna vitu natakiwa ninunue na vitendea kazi ikawa ngumu, hivo nikaona nianze na modelling kwanza mengine baadae
Kila la heri Mkuu

Tayari nimehifadhi tarehe uliyoitaja, kwaajili ya kuona kazi zako 👊
 
Back
Top Bottom