Usinichekesheee uduguu, na hunijaziii hivyooNa wifi yangu nuzulath wanaendana π
Hata wewe uduguu wa moto namba moja yako, em tupia tuone kwanza kitambo ujue πΉπΉπΉ
Kiongozi una sneaker kali, bongo unatua lini utuletee kaya maskini..!! Tutakushukuru sana πSitanii mkuu
Walaa sijasema yeye, ilivyo picha, kimuonekano unataka kuendana nae.Hakika umenifananisha...
Siwezi kuwa yeye
Udugu umevurugwa na nn leo? Mbna kaya maskini haikauki? Vipi dola 300 zimeleta kizaa zaa au?.Kiongozi una sneaker kali, bongo unatua lini utuletee kaya maskini..!! Tutakushukuru sana π
Ama kweli ng'ombe wa maskini hazai.Unanitafutia ugomvi tulishaimaliza kesi na atoto πΉπΉ
π₯±
Hapanaaa! Hiyo loc ni mambelee huko.
Unavaa namba ngap?Kiongozi una sneaker kali, bongo unatua lini utuletee kaya maskini..!! Tutakushukuru sana π
Acha ufala basi mi nakwambia ukweli ujue πΉπΉUsinichekesheee uduguu, na hunijaziii hivyoo
πππππ, na kuna mwingine bhana.
Kuna wanaume wanafauduu nyie, hivi nataka kusema nn?
πππππ
Huenda akawa ndugu yangu, si unajua madingi tena, huenda kwenye 1 na 2, akasababisha "duniani wawili wawili"Walaa sijasema yeye, ilivyo picha, kimuonekano unataka kuendana nae.
39 kiongozi si unajua pisi kali hatushindani na namba za wanaume πΉπΉπββοΈπββοΈπββοΈUnavaa namba ngap?
Hakuna hata kapete ka ndoa hapo?
Unataka kama hivyo?39 kiongozi si unajua pisi kali hatushindani na namba za wanaume πΉπΉπββοΈπββοΈπββοΈ
Kaya maskini tunaonewa tunapewa mido finga πΉπΉπΉUdugu umevurugwa na nn leo? Mbna kaya maskini haikauki? Vipi dola 300 zimeleta kizaa zaa au?.
Afu unaambiwa kuna zingine! Upo hapoo.
Dole la kati π. Jamaniiii sio kwa kufokewa kule.
πππππ
πππππ uduguu usinijazee, ila nini nimekosa umbo mie kwa kweli. Vinginevyo ningekimbiza qumamake.Acha ufala basi mi nakwambia ukweli ujue πΉπΉ
Mimi si ndo ninayeona au?
Mi nishakupitisha wewe namba 1, mama miongozo namba 2, binti kiziwi namba 3.5 hawa wamefungana na nuzulath..!!
Wengine nikiwakumbuka nitawajazia sio kwamba hampo πΉπΉπΉ
Kwenye figure kali ya kimamtoni
Nkamu saint Anne no 1 kabla sijasahau..!!
Acha umalaya ushaoa kaaka πΉπΉAma kweli ng'ombe wa maskini hazai.
Nimepishana na gari la mshahara ππ€£
Asante dogo lake. Kucha zangu ni laini lakini hazikatiki hadi nikate mwenyewe.Rangi ya mtume, kumbe Dear wee ni lizuri hivi?
Nimependa mno kucha zako, hadi za miguu, mnawezaje kufuga? Mie nashindwa, sikawiii kuzing'ata meno, ππππ
Afu sorry, eti kuvaa Pete hicho kidole, ina maana gani? Maana nilivaa hivyo nikaishiwa kupopolewa, nikafafanuliwa maana yake, japo kwangu sikustuka, ila niliona km vile niache tyuuh.
Au ndo urembo, ila nongwa za waja tyuuh?
Yaan mie ndo nachoka, muhimu nitue kwa tirampu, mengine yatajiseti huko huko.Kaya maskini tunaonewa tunapewa mido finga πΉπΉπΉ
Mshawishi kiranga akupeleke mambele basi, halafu aliniahidi kunipa rafiki yake tajiri wa visima vya mafuta, hivi anakumbuka kwanza?πΉπΉπ€£
Mwambie ahadi ni deni..!!
Uko msupuu hadi Co poaa!! πππAsante dogo lake. Kucha zangu ni laini lakini hazikatiki hadi nikate mwenyewe.
Mi binafsi navaa tu hapo zaidi ya pete ya kidole cha ndoa sidhani kama kuna maana zingine sa pete, Waja tu wanapenda kujitungia.
Mate wote wa forest ni washunu, naona unajitoa!ππ Jamani mate uko mshunu π₯°
Nyie mliumbwa saa ngapi wenzetu wazuri hivi??
Mungu kashindwa kutubless na sisi wa kaya maskini huku kwanini lakini? πΉπΉ
Subaru moja hiyo π