Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha! Watoto mlio zaliwa kipindi kikwete Yuko madarakani! Na kipindi Cha magari ya njano mmekosa kabisa maadili mnatuviamba sana ma bro zenu.

Naanza shule darasa la kwanza handeni vijijini natembea kilometer 30 kufuata huduma ya shule Tena peku.

Masagalu shule ya msingi
Chino we kinda tu, kilometer 30 mbona hata leo nazi kata bila presha.

enzi hizo natembea kupishana na fisi au misukule jambo la kawaida, fisi ana kulia timing akule au uliwe nyama na msukule.
 
Chino we kinda tu, kilometer 30 mbona hata leo nazi kata bila presha.

enzi hizi natembea kupishana na fisi au misukule jambo la kawaida, fisi ana kulia timing akule au uliwe nyama na msukule.
hahaha; ni maisha halisi niliyopitia nadhani we unayaona kwenye movie.

Hao fisi nimecheza nao sana mitaa ya itobo_bukene nzega( sehemu yenye fisi wa kutosha Tanzania).

Hii misikule unayoizungumzia hata Leo tu nikipata full detail za jina lako nakunyanyua usiku.

Mimi mwenyeji wa handeni! Kwetu kule Kila mtu ana taaluma iyo. Haha sema tumepumzika Sasa.
 
hahaha; ni maisha halisi niliyopitia nadhani we unayaona kwenye movie.

Hao fisi nimecheza nao sana mitaa ya itobo_bukene nzega( sehemu yenye fisi wa kutosha Tanzania).

Hii misikule unayoizungumzia hata Leo tu nikipata full detail za jina lako nakunyanyua usiku.

Mimi mwenyeji wa handeni! Kwetu kule Kila mtu ana taaluma iyo. Haha sema tumepumzika Sasa.
Chino tabora ndio maskani, kuanzia sikonge kwa kina mchuchu Kasie, nata, bukene kwa mshua.

nakupa habari my great grandfather alikuwa chief, babu yangu nae alikuwa chief hapo tabora.

hahaha so uki nipiga beat la fisi, naona kama ume nisaidia kuleta kiburudisho🦅.
 
Chino tabora ndio maskani, kuanzia sikonge kwa kina mchuchu Kasie, nata, bukene kwa mshua.

nakupa habari my great grandfather alikuwa chief, babu yangu nae alikuwa chief hapo tabora.

hahaha so uki nipiga beat la fisi, naona kama ume nisaidia kuleta kiburudisho🦅.
Bukene hapo nimepiga sana tikiti na kuchukua embe!!

Huko kaliua nilikua napita sana na king wa njia hiyo sabena navyoelekea chunya! Uliho nyanda? Kipindi hicho hiyo Barabara ilikua haipitiki bila escot. Sijui kama kipindi tunaimbishwa mtaji wa masikini kwenye pori Hilo ulikua umekuja duniani

Sasa ni na vitu vya pwani mixture bara ni kikutola na kutola hasa nyanda;
 
Bukene hapo nimepiga sana tikiti na kuchukua embe!!

Huko kaliua nilikua napita sana na king wa njia hiyo sabena navyoelekea chunya! Uliho nyanda? Kipindi hicho hiyo Barabara ilikua haipitiki bila escot. Sijui kama kipindi tunaimbishwa mtaji wa masikini kwenye pori Hilo ulikua umekuja duniani

Sasa ni na vitu vya pwani mixture bara ni kikutola na kutola hasa nyanda;
Ni vile situmiagi mjani, ila hapo kaliua hilo zao ndio chanzo Cha mafekere...

una jua treni, basi zime ibiwa sana mizigo, mpaka tukaja kuombwa kuwa wazee tusameheni.

Ina wezekana wewe ni mmoja wa madogo, tulio wapiga enzi hizo.

nkoi nalema, ntakutola mpaka uni amkie.
 
Ni vile situmiagi mjani, ila hapo kaliua hilo zao ndio chanzo Cha mafekere...

una jua treni, basi zime ibiwa sana mizigo, mpaka tukaja kuombwa kuwa wazee tusameheni.

Ina wezekana wewe ni mmoja wa madogo, tulio wapiga enzi hizo.

nkoi nalema, ntakutola mpaka uni amkie.
Nkoi ulenatuja; Sasa wewe yatimbe.

Mboka ilikua inatisha sana asikuambie mtu.

By the way Mimi ni shemeji Yako kijana. Hivo heshima ichukue mkondo wake.
 
Nkoi ulenatuja; Sasa wewe yatimbe.

Mboka ilikua inatisha sana asikuambie mtu.

By the way Mimi ni shemeji Yako kijana. Hivo heshima ichukue mkondo wake.
chino kwenu tanga walaini laini, sisi ugali kilo 2, viazi nusu ndoo na maziwa lazima vikae juu ya meza.

Naam wewe shemeji yangu, maana lazima nije nimu oe dada ako huko Tanga.
 
niite chief basi, maana kuni ita mboka manyema bila heshima yangu una kosea.

Utawala wa ki chief unge endelea kuwepo, huyu Kapachino ninge mgeuza mbeba matunda kunigwa.
Mitaa ya kujidai kiloleni halafu masagala shamba, niache mkuu wewe ni rais wangu wa majobless pro max hiyo heshima inatosha 😂

Halafu kwanza mpango wa siri ni kufanya Tabora kuwa nchi huru, sidhani kama huu mpango unaujua? 😂😂😂
 
Back
Top Bottom