Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,956
- 12,419
Mitaa ya kujidai kiloleni halafu masagala shamba, niache mkuu wewe ni rais wangu wa majobless pro max hiyo heshima inatosha 😂niite chief basi, maana kuni ita mboka manyema bila heshima yangu una kosea.
Utawala wa ki chief unge endelea kuwepo, huyu Kapachino ninge mgeuza mbeba matunda kunigwa.
Halafu kwanza mpango wa siri ni kufanya Tabora kuwa nchi huru, sidhani kama huu mpango unaujua? 😂😂😂