Ha ha ha usinichekeshe kuna dada angu mlokole wakati nainunua ananiambia mbona nanunua nguo imechakaaMkuu nina utaalamu wa kushona hapo palipo chanika, joking 😅.
Vidole vizuri.
Yaani kweli wa kishua, yaani mlikua hadi na beseni za kuchezea?Kipindi Hiko kufaulu LY ilikua ishu.
Bila kuweka miguu kwenye beseni la maji ni ngumu.
Chino we kinda tu, kilometer 30 mbona hata leo nazi kata bila presha.Hahaha! Watoto mlio zaliwa kipindi kikwete Yuko madarakani! Na kipindi Cha magari ya njano mmekosa kabisa maadili mnatuviamba sana ma bro zenu.
Naanza shule darasa la kwanza handeni vijijini natembea kilometer 30 kufuata huduma ya shule Tena peku.
Masagalu shule ya msingi
hahaha; ni maisha halisi niliyopitia nadhani we unayaona kwenye movie.Chino we kinda tu, kilometer 30 mbona hata leo nazi kata bila presha.
enzi hizi natembea kupishana na fisi au misukule jambo la kawaida, fisi ana kulia timing akule au uliwe nyama na msukule.
Chino tabora ndio maskani, kuanzia sikonge kwa kina mchuchu Kasie, nata, bukene kwa mshua.hahaha; ni maisha halisi niliyopitia nadhani we unayaona kwenye movie.
Hao fisi nimecheza nao sana mitaa ya itobo_bukene nzega( sehemu yenye fisi wa kutosha Tanzania).
Hii misikule unayoizungumzia hata Leo tu nikipata full detail za jina lako nakunyanyua usiku.
Mimi mwenyeji wa handeni! Kwetu kule Kila mtu ana taaluma iyo. Haha sema tumepumzika Sasa.
Ilikaaa dakika zake za kutosha kuona kimya nikaipeleka kulala😃Iko wapi picha?
Bukene hapo nimepiga sana tikiti na kuchukua embe!!Chino tabora ndio maskani, kuanzia sikonge kwa kina mchuchu Kasie, nata, bukene kwa mshua.
nakupa habari my great grandfather alikuwa chief, babu yangu nae alikuwa chief hapo tabora.
hahaha so uki nipiga beat la fisi, naona kama ume nisaidia kuleta kiburudisho🦅.
😃Hii mbona tunatumia adi leo kwa bibi kuleView attachment 3466039
Enzi hizo ni mwendo wa Vibatari tu.
Tulikuwa hatuwazi kwamba Umeme wa REA ungefika Vijijini kama ilivyo sasa
Kwenu kama mlikua mnatumia vibatari basi nyie wakishua kitambo😃😃Dah vitu vyetu hivi, madogo kama kina binti kiziwi, Selikavu, Razorblade, Edo kissy, dosho12 una wapoteza kabisaa.
tena huyu Kapachino ana weza dhani taa ya aladini hiyo 😂😅
Ni vile situmiagi mjani, ila hapo kaliua hilo zao ndio chanzo Cha mafekere...Bukene hapo nimepiga sana tikiti na kuchukua embe!!
Huko kaliua nilikua napita sana na king wa njia hiyo sabena navyoelekea chunya! Uliho nyanda? Kipindi hicho hiyo Barabara ilikua haipitiki bila escot. Sijui kama kipindi tunaimbishwa mtaji wa masikini kwenye pori Hilo ulikua umekuja duniani
Sasa ni na vitu vya pwani mixture bara ni kikutola na kutola hasa nyanda;
Mi nimetumia hivi, nakumbuka mwaka 1970 nikiwa na miaka 9 kidogo niumguze nyumba kwa ajili ya uzembe, kibatari kilidondoka kwenye godoro 😟😟 hyo siku sitaisahauDah vitu vyetu hivi, madogo kama kina binti kiziwi, Selikavu, Razorblade, Edo kissy, dosho12 una wapoteza kabisaa.
tena huyu Kapachino ana weza dhani taa ya aladini hiyo 😂😅
amka uka kojoe, shenzi zakoMi nimetumia hivi, nakumbuka mwaka 1970 nikiwa na miaka 9 kidogo niumguze nyumba kwa ajili ya uzembe, kibatari kilidondoka kwenye godoro 😟😟 hyo siku sitaisahau
Nkoi ulenatuja; Sasa wewe yatimbe.Ni vile situmiagi mjani, ila hapo kaliua hilo zao ndio chanzo Cha mafekere...
una jua treni, basi zime ibiwa sana mizigo, mpaka tukaja kuombwa kuwa wazee tusameheni.
Ina wezekana wewe ni mmoja wa madogo, tulio wapiga enzi hizo.
nkoi nalema, ntakutola mpaka uni amkie.
chino kwenu tanga walaini laini, sisi ugali kilo 2, viazi nusu ndoo na maziwa lazima vikae juu ya meza.Nkoi ulenatuja; Sasa wewe yatimbe.
Mboka ilikua inatisha sana asikuambie mtu.
By the way Mimi ni shemeji Yako kijana. Hivo heshima ichukue mkondo wake.
Mboka manyema, oya we familiya kabisa aisee.Chino tabora ndio maskani
niite chief basi, maana kuni ita mboka manyema bila heshima yangu una kosea.Mboka manyema, oya we familiya kabisa aisee.
Dah! 😂😂😂Mi nimetumia hivi, nakumbuka mwaka 1970 nikiwa na miaka 9 kidogo niumguze nyumba kwa ajili ya uzembe, kibatari kilidondoka kwenye godoro 😟😟 hyo siku sitaisahau
Mitaa ya kujidai kiloleni halafu masagala shamba, niache mkuu wewe ni rais wangu wa majobless pro max hiyo heshima inatosha 😂niite chief basi, maana kuni ita mboka manyema bila heshima yangu una kosea.
Utawala wa ki chief unge endelea kuwepo, huyu Kapachino ninge mgeuza mbeba matunda kunigwa.