binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,110
- 34,405
Laaah! Nimelia sana ğŸ˜Tena wewe wataonja kwanza ndo wakuruhusu🤣
Sina tako itakuwaje sijui!!!
Laaah! Nimelia sana ğŸ˜Tena wewe wataonja kwanza ndo wakuruhusu🤣
Ajambo! Kuna siku niliona umepiga nilicheka sana😂sema brother hajambo?
Aisee taratibu usije uka pasukaUbwabwa sipendelei
Ndizi+nyama/samaki
Supu iliyomwagiwa viazi mviringo
Ugali hapo fresh
Dah! Unazingua lakiniHicho kiuno🤣 na hilo taco sasa🤣🤣🤣 naomba nisamehewe mimi mlevi tu🤣
shenzi zako😂😅, lini hiyo?Ajambo! Kuna siku niliona umepiga nilicheka sana😂
basi ndiomana!Ubwabwa sipendelei
Ndizi+nyama/samaki
Supu iliyomwagiwa viazi mviringo
Ugali hapo fresh
Hivi karibuni tu! Nikasema sipokei simu ya watushenzi zako😂😅, lini hiyo?
HahahaDah! Unazingua lakini
Kweli nyani haoni kundule! Mimi najiona model hivyo😂basi ndiomana!
Ka lichawi, sema una babia babia 😂Hivi karibuni tu! Nikasema sipokei simu ya watu
Babia babia ndio niniKa lichawi, sema una babia babia 😂
Mara nyingi nyie mnao semaga hamna mizigo! Mara nyingi Huwa mmefungasha mpaka yanawaelemea. Imagine wamechukua sanchokaLaaah! Nimelia sana ğŸ˜
Sina tako itakuwaje sijui!!!
Kukisia, au Speculation in English.Babia babia ndio nini
Kwani hukupiga? Niliona imeseviwa intelligent jfKukisia, au Speculation in English.
Na ukianza kushusha Kuna namna flani ya kujiachia hivo mwili lazima uje tu automatically.Kweli nyani haoni kundule! Mimi najiona model hivyo😂
Anhaa kaka mi binafsi mtanionea ğŸ˜Mara nyingi nyie mnao semaga hamna mizigo! Mara nyingi Huwa mmefungasha mpaka yanawaelemea. Imagine wamechukua sanchoka
Ila sitaki kuvuka 80Na ukianza kushusha Kuna namna flani ya kujiachia hivo mwili lazima uje tu automatically.