Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,619
Sura yake mtaratibu...mwenye macho ya aibu...umbo lake majaribu bado namkumbuka sanaaaMchana mwemaaaView attachment 1285445
Sura yake mtaratibu...mwenye macho ya aibu...umbo lake majaribu bado namkumbuka sanaaaMchana mwemaaaView attachment 1285445
Dem sweet lipzSunday njema kwenu.View attachment 1285364
Kwenye sura na macho umekosea kidogoSura yake mtaratibu...mwenye macho ya aibu...umbo lake majaribu bado namkumbuka sanaaa
Nirekebishe kwa passport size mama..moja tuKwenye sura na macho umekosea kidogo
Ndio.Hasira zimeisha mama??![]()
Marahabaaa!Shikamoo mkwe.



woii yaani pale ndiyo uliongea haraka?? Watu kama ninyi siwezagi kabisa kuwasikiliza mkiwa mnasimulia jambo yaani naona kama mnachelewa kumaliza,, kuna watu wengine wakianza kusimulia huwa nawaambia tu "hey just skip to the end"..
Kwa hayo maaelezo
Staili ya uandishi wako
+Ile voice note yangu pale nilijitahidi kuongea haraka

ah wapi mie mbona ndiyo mambo yangu hayo?? Cha Mbeya nacho kikali sema hakivumi tu!!

usijaribu asee maana tutakupoteza.... Sasa nikuoneshe hapa au Tsap?
Marahabaaa!
Niletee cha Mbeya nionje 😂😂ah wapi mie mbona ndiyo mambo yangu hayo?? Cha Mbeya nacho kikali sema hakivumi tu!!
Nioneshe kule aise
Yesus! Dah...Sunday njema kwenu.View attachment 1285364






then utasema asante
Niletee cha Mbeya nionje![]()
Nakutumia
Baba J 🙇🙇Baby Depal Asante kwa Zawadi mama..!
I am humbled...![]()
Nimekuhamu ..Mama J..
Yesus! Dah...
Unajua bwana, isingekuwa hii platform huenda tungepishana tu mtaani hata salam zetu wala msingepokea. Ilà hapa kwanza uta-likethen utasema asante
![]()
Nimekuhamu ..