Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Tuamke saa 10 mkuu..
+ Team AJ
+ Team AJ
Wale wa manchester tunaruhusiwa kuamka saa ngapi??
Wale wa manchester tunaruhusiwa kuamka saa ngapi??
Baba J... Si unajua hiyo michezo siipendagi![]()
Siwezi tenaAise daah nina imani hutarudia tena
hizo kona ni kilomita kadhaa nyuma kabla ya mbuyuni(sijui ndio panaitwa iyovi?).Itakuwa Iyovi hii, mwanzo mwanzo huku ukiwa watokea Moro...
Hizi kona kuna jamaa alikuwa ananikimbiza almanusira apate ajali maana ilikuwa usiku, mimi natembea 150, njia naijua...
Sasa kuna zile kona fulani hivi ni kali kama unazunguka duara hivi upande wa abiria...
Jamaa nilimuona kwenye rear mirror anahaha upande wa pili kuirudisha gari kati, alikuja nipata Ipogolo pale sijui wanapaitaje kuna sehemu ya snacks ni kama fuel station+supermarket+washrooms, ndio akaanza simulia tabu aliyoipata...
Ukiwa waelekea Iringa tokea Moro, waanza kupita Iyovi ndio hizo kona kona, then Ruaha/Ruaha Mbuyuni then Kitonga...hizo kona ni kilomita kadhaa nyuma kabla ya mbuyuni(sijui ndio panaitwa iyovi?).
View attachment 1285253



haki ya nani hivi kumbe kijiti cha arachuga ndiyo kikali hivyo?? Ngoja na mimi nitakijaribu siku moja!!Hivi unajua ile pic yako nimeweka wallpaperau unataka mpaka nikuoneshe? Yan yale macho mimi hoiiii
sema sina kaka mkubwa wa kukutosha
Dogo![]()
Ukiona ni tagHuko juu kuna picha au nisepe tu?
Blessed and beautiful Sunday to y'all
Ukiwa waelekea Iringa tokea Moro, waanza kupita Iyovi ndio hizo kona kona, then Ruaha/Ruaha Mbuyuni then Kitonga...
Iyovi, Ruaha inakutoa nyanda za kati kukupeleka ukanda wa juu ambapo ndio hapo ukishaanza ipanda Kitonga...









Wale wa manchester tunaruhusiwa kuamka saa ngapi??
Siwezi tena
Mkuu usifanye hivoUnakumbuka enzi za negativu mkuu,ile ya ya kwenda studio unaenda kusafisha picha ,basi ngoja nikaisafishe hii mkuu hahaha
Kwa hayo maaelezommhh umejuaje??
😂😂😂😂 usijaribu asee maana tutakupoteza.... Sasa nikuoneshe hapa au Tsap?haki ya nani hivi kumbe kijiti cha arachuga ndiyo kikali hivyo?? Ngoja na mimi nitakijaribu siku moja!!
Nioneshe hebu
Nimemiss kisauti chakoSema kubwa lao
Toto la HumanityJumapili ya mvua.
Ibada ilikuwa njema![]()