cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Woyoooooooo!!! ππππMali yako hiyo shemeji, vimba nayo π
Woyoooooooo!!! ππππMali yako hiyo shemeji, vimba nayo π
MC ππAriririiiiiiiii itapendeza mkilipia kwa dollar πΉπΉ
Mali swafi OG hiyo, Mzigo genuine huo..!!
Umenyooka hauna kipengele labda mje nacho nyie..!! πΉπΉ
Binti yetu anajua kumiliki mpira, kuanzia winga wa kati, beki wa nyuma na mbele hadi pembeni anazuia mashuti..!!
Niache kwanza nna hasira kuna mtu nimetunza mzigo kwake halafu simu zangu hapokei na msg harespond..!! πΉπΉπΉUduguuu, leta π€, utakimbiza wakwe ujue?
ππππππ
Vile tumejipanga nyie totoeni tu sisi tutalea πWoyooooo!! Muambieni ba tamu, nataka tulete twins wa ki half cast.
ππππππ.
ππππ umeutunza store kwake au? Uko kwako ila hajafanya malipo?Niache kwanza nna hasira kuna mtu nimetunza mzigo kwake halafu simu zangu hapokei na msg harespond..!! πΉπΉπΉ
Nacheka huku nalia walahi sijui hata usingizi km nitapata aiseee..!!
Kama umependekeza ng'ombe basi tutaleta fuso 2 za ng'ombe na 1 ya mbuzi πππMejiiiiii una nini lakiniii? πππππ
Ng'ombe wajae kwenye fuso.
Mejiiii ninao na ninatamba nao.Vile tumejipanga nyie totoeni tu sisi tutalea π
Nyie jukumu lenu ni kupeana utamu tu malezi mtuachie siye πππ
We kwenda zako ngβombe sifuti wako palepale na zizi nishaandaa πΉπΉπΉMillion 50? Haya matusi sasa, sisi tunaandaa 100 π
Kuhusu ng'ombe hapana hatuwezi mnasibisha shemeji yetu na mavi ya ng'ombe πππ
Tafute kingine ila siyo ng'ombe π
cocastic
Woyooooooooooo!!!!!Kama umependekeza ng'ombe basi tutaleta fuso 2 za ng'ombe na 1 ya mbuzi πππ
πππππππWe kwenda zako ngβombe sifuti wako palepale na zizi nishaandaa πΉπΉπΉ
Labda tuongeze Noah ya kutembelea baba mzazi, na plot mbweni hata ya square meter 600x400 sio mbaya π€£πΉ
ππππMejiiii ninao na ninatamba nao.
SK akuje afanye nilete wana mie, ugumba na utasa sio shida zetu kabisaa.
Mayai ninayo na ninatamba nayoo, alete mbegu tutotoe tuvitu vitu
ππππππ
Unapendekeza ng'ombe kama wasukuma πWe kwenda zako ngβombe sifuti wako palepale na zizi nishaandaa πΉπΉπΉ
Labda tuongeze Noah ya kutembelea baba mzazi, na plot mbweni hata ya square meter 600x400 sio mbaya π€£πΉ
Woyoooooooo!!! ππππUnapendekeza ng'ombe kama wasukuma π
Tushalimaliza hilo ng'ombe zitakuja na nyongeza π
Store kwake halafu nna wasiwasi kauuza nyie πΉπΉπΉππππ umeutunza store kwake au? Uko kwako ila hajafanya malipo?
Niambie kwani, πππππ
Ni bonge la shereWoyooooooooooo!!!!!
"Dada huyo anaolewaaa!!!, maliiii ishatolewaaaa"
ππππππ
πΉπΉπΉ Tukaishi mbweni na sie kwa kina duli kizimkaze π€£πππππππ
Mkikosa sana basi zisipungue fuso 3 πUnapendekeza ng'ombe kama wasukuma π
Tushalimaliza hilo ng'ombe zitakuja na nyongeza π
Wee dyadyaa si umuibukie maeneo yake,Store kwake halafu nna wasiwasi kauuza nyie πΉπΉπΉ
Biashara ikiamua kukula kiboga unaweza kuchinja mtu, hapa natakiwa kuclear kwa kina Jet li afu sielewi kubabeki..!!
ππππ ila Mbweni, niliwahi enda, nilivurugwaa mbayaa.πΉπΉπΉ Tukaishi mbweni na sie kwa kina duli kizimkaze π€£
Mejiii umechangamkaa sanaa, πππππNi bonge la shere
Nderemo na vifijo
Kila meza na shampeni, mie nitaongeza mapulizoooo
πππ