Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,393
- 94,708
Mashallah 🥰 😍😍
Uduguu rangi ya mtume, mtoto mlito kabisaaa..!!
SK kapata jiko na store yake awwwww 🥰
Ndugu wa mume ongezeni mahari binti yetu kajitunza na mzuri 😹
Mashallah 🥰 😍😍
Aririiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!! Ko nitambee kabisaa.Ndugu yetu unae shemeji, kikao cha familiya kinaendelea.
Bwana umepata na sherehe ipo shemeji 😂
Uduguu umeanzaaa mbwembwee, ntakosa mume ujue.Mashallah 🥰 😍😍
Uduguu rangi ya mtume, mtoto mlito kabisaaa..!!
SK kapata jiko na store yake awwwww 🥰
Ndugu wa mume ongezeni mahari binti yetu kajitunza na mzuri 😹
Tamba shemeji, ndugu yangu hana jeuri ya kukataa hiyo rangi na hizo lipsi 😂😂😂Aririiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!! Ko nitambee kabisaa.
😂😂😂😂😂
Mashallah 🥰 😍😍
Uduguu rangi ya mtume, mtoto mlito kabisaaa..!!
SK kapata jiko na store yake awwwww 🥰
Ndugu wa mume ongezeni mahari binti yetu kajitunza na mzuri 😹
Hata sisi hatuwezi kukubali kutoa mahari ndogo kwa hii mali 😂Uduguu umeanzaaa mbwembwee, ntakosa mume ujue.
Unataka nizeeke home? Vibayaa hivyoo.
😂😂😂😂😂
Jamaniii Mejiii Co unanijazaa wee, 😂😂😂😂Tamba shemeji, ndugu yangu hana jeuri ya kukataa hiyo rangi na hizo lipsi 😂😂😂
😹😹😹 Ulivyo kisu hivo huwezi kuzeekea home.Uduguu umeanzaaa mbwembwee, ntakosa mume ujue.
Unataka nizeeke home? Vibayaa hivyoo.
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 jamaniiii!!!Hata sisi hatuwezi kukubali kutoa mahari ndogo kwa hii mali 😂
😂😂😂😂😂😹😹😹 Ulivyo kisu hivo huwezi kuzeekea home.
Hapo lazima mahari million 50 na ng’ombe za usukumani zisizopungua 40 zenye ujazo wa kutosha..!!
Shemeji kuwa na amani ndugu yangu ni mali yako 😂Jamaniii Mejiii Co unanijazaa wee, 😂😂😂😂
Mbona naogopaa, SK hanitaki kabisaa. Uwiiih
Lazima tukuheshimishe 😂😂😂😂😂 jamaniiii!!!
Awwww!!! Mejiii usiniangushe, nampenda SK Mie,Shemeji kuwa na amani ndugu yangu ni mali yako 😂
Ariririiiiiiiii itapendeza mkilipia kwa dollar 😹😹Hata sisi hatuwezi kukubali kutoa mahari ndogo kwa hii mali 😂
Woyooooo!! Muambieni ba tamu, nataka tulete twins wa ki half cast.Lazima tukuheshimishe 😂
Na ist ya dada mkubwa ya kwendea kujumlia vijora, nishaongeza mahari 😹😹😹😂😂😂😂😂
Wee haya, Maneno hayo unayatupaa?
Mbona naogopaa!! Woiiiih
Uduguuu, leta 🎤, utakimbiza wakwe ujue?Ariririiiiiiiii itapendeza mkilipia kwa dollar 😹😹
Mali swafi OG hiyo, Mzigo genuine huo..!!
Umenyooka hauna kipengele labda mje nacho nyie..!! 😹😹
Binti yetu anajua kumiliki mpira, kuanzia winga wa kati, beki wa nyuma na mbele hadi pembeni anazuia mashuti..!!
MmmmmmmmmAriririiiiiiiii itapendeza mkilipia kwa dollar 😹😹
Mali swafi OG hiyo, Mzigo genuine huo..!!
Umenyooka hauna kipengele labda mje nacho nyie..!! 😹😹
Binti yetu anajua kumiliki mpira, kuanzia winga wa kati, beki wa nyuma na mbele hadi pembeni anazuia mashuti..!!
Million 50? Haya matusi sasa, sisi tunaandaa 100 😂😹😹😹 Ulivyo kisu hivo huwezi kuzeekea home.
Hapo lazima mahari million 50 na ng’ombe za usukumani zisizopungua 40 zenye ujazo wa kutosha..!!
DA mkubwa unapewa Range, ukikatiza mtaa wa Congo, bas mawinga wote, kibwagizo "boss boss boss huyoooooooooo"Na ist ya dada mkubwa ya kwendea kujumlia vijora, nishaongeza mahari 😹😹😹
Mali yako hiyo shemeji, vimba nayo 😂Awwww!!! Mejiii usiniangushe, nampenda SK Mie,
😂😂😂😂😂😂