cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Aririiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!! Ko nitambee kabisaa.Ndugu yetu unae shemeji, kikao cha familiya kinaendelea.
Bwana umepata na sherehe ipo shemeji π
πππππ
Aririiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!! Ko nitambee kabisaa.Ndugu yetu unae shemeji, kikao cha familiya kinaendelea.
Bwana umepata na sherehe ipo shemeji π
Uduguu umeanzaaa mbwembwee, ntakosa mume ujue.Mashallah π₯° ππ
Uduguu rangi ya mtume, mtoto mlito kabisaaa..!!
SK kapata jiko na store yake awwwww π₯°
Ndugu wa mume ongezeni mahari binti yetu kajitunza na mzuri πΉ
Tamba shemeji, ndugu yangu hana jeuri ya kukataa hiyo rangi na hizo lipsi πππAririiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!! Ko nitambee kabisaa.
πππππ
Mashallah π₯° ππ
Uduguu rangi ya mtume, mtoto mlito kabisaaa..!!
SK kapata jiko na store yake awwwww π₯°
Ndugu wa mume ongezeni mahari binti yetu kajitunza na mzuri πΉ
Hata sisi hatuwezi kukubali kutoa mahari ndogo kwa hii mali πUduguu umeanzaaa mbwembwee, ntakosa mume ujue.
Unataka nizeeke home? Vibayaa hivyoo.
πππππ
Jamaniii Mejiii Co unanijazaa wee, ππππTamba shemeji, ndugu yangu hana jeuri ya kukataa hiyo rangi na hizo lipsi πππ
πΉπΉπΉ Ulivyo kisu hivo huwezi kuzeekea home.Uduguu umeanzaaa mbwembwee, ntakosa mume ujue.
Unataka nizeeke home? Vibayaa hivyoo.
πππππ
ππππ jamaniiii!!!Hata sisi hatuwezi kukubali kutoa mahari ndogo kwa hii mali π
ππππππΉπΉπΉ Ulivyo kisu hivo huwezi kuzeekea home.
Hapo lazima mahari million 50 na ngβombe za usukumani zisizopungua 40 zenye ujazo wa kutosha..!!
Shemeji kuwa na amani ndugu yangu ni mali yako πJamaniii Mejiii Co unanijazaa wee, ππππ
Mbona naogopaa, SK hanitaki kabisaa. Uwiiih
Lazima tukuheshimishe πππππ jamaniiii!!!
Awwww!!! Mejiii usiniangushe, nampenda SK Mie,Shemeji kuwa na amani ndugu yangu ni mali yako π
Ariririiiiiiiii itapendeza mkilipia kwa dollar πΉπΉHata sisi hatuwezi kukubali kutoa mahari ndogo kwa hii mali π
Woyooooo!! Muambieni ba tamu, nataka tulete twins wa ki half cast.Lazima tukuheshimishe π
Na ist ya dada mkubwa ya kwendea kujumlia vijora, nishaongeza mahari πΉπΉπΉπππππ
Wee haya, Maneno hayo unayatupaa?
Mbona naogopaa!! Woiiiih
Uduguuu, leta π€, utakimbiza wakwe ujue?Ariririiiiiiiii itapendeza mkilipia kwa dollar πΉπΉ
Mali swafi OG hiyo, Mzigo genuine huo..!!
Umenyooka hauna kipengele labda mje nacho nyie..!! πΉπΉ
Binti yetu anajua kumiliki mpira, kuanzia winga wa kati, beki wa nyuma na mbele hadi pembeni anazuia mashuti..!!
MmmmmmmmmAriririiiiiiiii itapendeza mkilipia kwa dollar πΉπΉ
Mali swafi OG hiyo, Mzigo genuine huo..!!
Umenyooka hauna kipengele labda mje nacho nyie..!! πΉπΉ
Binti yetu anajua kumiliki mpira, kuanzia winga wa kati, beki wa nyuma na mbele hadi pembeni anazuia mashuti..!!
Million 50? Haya matusi sasa, sisi tunaandaa 100 ππΉπΉπΉ Ulivyo kisu hivo huwezi kuzeekea home.
Hapo lazima mahari million 50 na ngβombe za usukumani zisizopungua 40 zenye ujazo wa kutosha..!!
DA mkubwa unapewa Range, ukikatiza mtaa wa Congo, bas mawinga wote, kibwagizo "boss boss boss huyoooooooooo"Na ist ya dada mkubwa ya kwendea kujumlia vijora, nishaongeza mahari πΉπΉπΉ
Mali yako hiyo shemeji, vimba nayo πAwwww!!! Mejiii usiniangushe, nampenda SK Mie,
ππππππ
Mejiiiiii una nini lakiniii? πππππMillion 50? Haya matusi sasa, sisi tunaandaa 100 π
Kuhusu ng'ombe hapana hatuwezi mnasibisha shemeji yetu na mavi ya ng'ombe πππ
Tafute kingine ila siyo ng'ombe π
cocastic