ApolloShadow
JF-Expert Member
- Jul 19, 2025
- 927
- 1,927
cha kienyeji 😁😁
Chapati ngumu izo naziona tu 😂Mie kazi yangu kuwakumbusha Tu kulaView attachment 3456059
😂😂😂 kabisaNa wangu wameufunga...🤣
Bora tukaendelee kule jukwaa la mapishi tu...🙄
kwani wanaufungua na kufunga? mbona nimeona reply ya 5min ya bwana 100 othersUshimen uzi wa britican tuujadili hapa 😂
Ndiokwani wanaufungua na kufunga? mbona nimeona reply ya 5min ya bwana 100 others
kwahiyo wanatudodishia🤣🤣🤣Ndio
Leo natengeneza ID ya matukio.. nitengeneze ID mbili ..kwani wanaufungua na kufunga? mbona nimeona reply ya 5min ya bwana 100 others
utaweza kuzihendo? au utachangany mafile kila siku dia wangu🤣🤣🤣Leo natengeneza ID ya matukio.. nitengeneze ID mbili ..
Ahaha awe mnidakekwahiyo wanatudodishia🤣🤣🤣
enweii ebu selfika
aloooooooo nimecheka😆😆😆😆😆😆😆😆 basi selfika hata chapoo za janqAhaha awe mnidake
Jua kali etaloooooooo nimecheka😆😆😆😆😆😆😆😆 basi selfika hata chapoo za janq
pole ila huku kijijin kwetu pamepoa mno hakuna jua la kushangazaJua kali et
pole ila huku kijijin kwetu pamepoa mno hakuna jua la kushangaza
Potelea pote.. nikichanganya mafile ujue ajali kazini..utaweza kuzihendo? au utachangany mafile kila siku dia wangu🤣🤣🤣
I see,, sema nini unaishi buanaaa,, jana sijui juzi nimeona picha ya sitting room yako nikatoka udenda 🤣🤣🤣🤣🤣
kwanini sasa unataka kufanya hivyo,,, haufananii bwana em acha kujitesaPotelea pote.. nikichanganya mafile ujue ajali kazini..
Unakuta last comment 2 days ago kumbe mtu yupo online anazunguka anaku zoom tu...