Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
Nipo kwa shemeji mimi ni mtunza bustani tu usitishike😂I see,, sema nini unaishi buanaaa,, jana sijui juzi nimeona picha ya sitting room yako nikatoka udenda 🤣🤣🤣🤣🤣
Nipo kwa shemeji mimi ni mtunza bustani tu usitishike😂I see,, sema nini unaishi buanaaa,, jana sijui juzi nimeona picha ya sitting room yako nikatoka udenda 🤣🤣🤣🤣🤣
mtunza bustani huwa unaruhusiwa kwenda jikoni kupika? ebu tokaaaaaaa🤣🤣🤣Nipo kwa shemeji mimi ni mtunza bustani tu usitishike😂
Naijua hio..kwanini sasa unataka kufanya hivyo,,, haufananii bwana em acha kujitesa
Boss wangu kaniambia niwe free kama nipo homemtunza bustani huwa unaruhusiwa kwenda jikoni kupika? ebu tokaaaaaaa🤣🤣🤣
haya sawa ngoja nikuache ila nimekalili muandiko wako,, soooooo nitakuumbua tu🤣Naijua hio..
hahahah nimempenda sana boss wako,,, nitafutie connection basi nije kukusaidia kuosha sufuria🤗Boss wangu kaniambia niwe free kama nipo home
Uje dar na nauli ya kurudia 😂hahahah nimempenda sana boss wako,,, nitafutie connection basi nije kukusaidia kuosha sufuria🤗
NzuriMwachiluwi 100 others maneno kidogo picha nyingi tafwazali sana
nikitoka mimi anafata huyo kitinda mimba🤗😅Nzuri
Umependeza sana.. 😘Mwachiluwi 100 others maneno kidogo picha nyingi tafwazali sana
nauli ya kutoka huku Bush kwetu mpka dar nishapata mtaji wa mboga za majani ujue🤣Uje dar na nauli ya kurudia 😂
thanks beib😍Umependeza sana.. 😘
Basi macho yako mabovu maana chapati lain inaliwa Hadi na kibogoyoChapati ngumu izo naziona tu 😂
Nakutania tuBasi macho yako mabovu maana chapati lain inaliwa Hadi na kibogoyo
Kuongeza Tu confidence mkuu,. Bila hivyo ntawaonea aibu naofanya nao kibaruaKwa nn unakunywa asbh ? Wine inalegeza kinoma, utajickia mvivu mvivu, hata kama ulikuwa na safari zako utaghairi utaona bora upumzike
Vipi lakini unaendeleaje?Nakutania tu
Nip wellVipi lakini unaendeleaje?
Yani unaingia job umeshawaka ?Kuongeza Tu confidence mkuu,. Bila hivyo ntawaonea aibu naofanya nao kibarua