min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,587
- 164,827
Mhmm , ila 41 na 42 utavaa , ngoja nivitunze😅Ndio
Mhmm , ila 41 na 42 utavaa , ngoja nivitunze😅Ndio
Lee wewe ni master sana , ushakua mwenetu🤣🤣Iishe hii nilale sasaView attachment 3456471
We Acha Tu aisee,.Lee wewe ni master sana , ushakua mwenetu🤣🤣
Usizidi , unakula vitu vyako kistaarabu , na kwa utulivu mkubwa , hapa mwenyewe nakula vitu vyangu kiulaini sana🤣We Acha Tu aisee,.
Naona nawazidi mlionitangulia😎
Usizidi , unakula vitu vyako kistaarabu , na kwa utulivu mkubwa , hapa mwenyewe nakula vitu vyangu kiulaini sana🤣
Hahaha safi sana ulimaliza unajipindua kitandani tu😅😅Uzuri nakunywa zangu mwenywe chumbani alone,. Wala sina shida na MTU😂😎
Mtoto wa 2000 utazeeka kivip😅😅😅Hadi urudi nitakua nishazeeka
Kumbe hujui hesabuMtoto wa 2000 utazeeka kivip😅😅😅
Wewe ni kadogo 😅😅Kumbe hujui hesabu
Tukikaa mimi na wewe, mimi mkubwaWewe ni kadogo 😅😅
Sio kweli labda kama ta,,,, ndio ukubwaa🤣🤣🤣Tukikaa mimi na wewe, mimi mkubwa
Sio kweliSio kweli labda kama ta,,,, ndio ukubwaa🤣🤣🤣
Kawadanganye wanaosinzia😅Sio kweli
Ilikua akili ya pombe?Futa Kwanza hiyo comment yako hapo juu kaka
I don't know,. Si Niko nachat na MTU WhatsApp hapa,. Ya huku nimeandika huku ya huku huku yaani vurugu Tu,.Ilikua akili ya pombe?
Dahhh!😂 Ila kama unatumia sio nzuri zina madharaI don't know,. Si Niko nachat na MTU WhatsApp hapa,. Ya huku nimeandika huku ya huku huku yaani vurugu Tu,.
Em nilale Mie