Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,915
That's nice 😍Nip well
That's nice 😍Nip well
Ntafanyaje sasa na Niko na vijana Tu mwanamke pekeyangu camp nzima😃Yani unaingia job umeshawaka ?
Ukaza tu no way 😐Ntafanyaje sasa na Niko na vijana Tu mwanamke pekeyangu camp nzima😃
Mie Nina aibu sanaUkaza tu no way 😐
Unavaa namba ngapi?
Sema hiyo inabana , nimenunua mda huu nataka nirudisheUnavaa namba ngapi?
Mimi 41 mikato myembamba 42
Huko mnaruhusiwa kurudisha vitu dukani?Sema hiyo inabana , nimenunua mda huu nataka nirudishe
Mimi navaa 42 43 na 44Mimi 41 mikato myembamba 42
Ukija nikusanyie migoko yote hiyo inanitosha.
Sure ,hata ukikaa navyo mweziHuko mnaruhusiwa kurudisha vitu dukani?
Basi nishakosa viatuMimi navaa 42 43 na 44
Hahahahaa una guu la kiumeMimi 41 mikato myembamba 42
Ukija nikusanyie migoko yote hiyo inanitosha.
Kidogo sio sanaHahahahaa una guu la kiume
Yeah kuna raba zangu unaweza zivaaBasi nishakosa viatu
Hahaha tunavaliana weweKidogo sio sana
Umeipenda hoyo raba?Kidogo sio sana
NdioUmeipenda hoyo raba?
Mhmm , ila 41 na 42 utavaa , ngoja nivitunze😅Ndio