cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,289
- 187,941
Yapi tenaa? 😂😂😂😂Min me mapenzi yanamchanganya 😹😹😹
Nisamaraiziee tafadhari, kabla shem wako new hajanipigia hapa.
Yapi tenaa? 😂😂😂😂Min me mapenzi yanamchanganya 😹😹😹
😹😹😹 Ndugu yangu leo nimeona pic ya maka bhana, nikawa namuita mshangazi ajionee uumbaji wa mchizi wetu mana kila siku tunaishia kumsoma vituko vyake..!!Kumekuchaaaaaah 😂😂😂😂
Ushabadili bwana coca? 😹😹😹Yapi tenaa? 😂😂😂😂
Nisamaraiziee tafadhari, kabla shem wako new hajanipigia hapa.
Nakuja we mmiliki wa timu mpk ukatae 😹😹Uje wapiii? Citizens? Huku tumetoshaa hatutakii wagenii.
😂😂😂😂😂
Nilikua nachangamsha kijiwe jana kilipoa 😜😹😹Mabwakuuu, 😂😂😂😂😂
Mi mnafki km wanafki wengine tu 😹Uduguuu!! Plz 😂😂😂😂
😜Mimi wala sina dharau kabisa, mbona nimemuuliza kistaarabu tu
😂😂😂😂Nilikua nachangamsha kijiwe jana kilipoa 😜😹😹
Wakinga na kupenda wapi na wapi?? 🤣
😂😂😂😂 em huko, aaah wapiii?!Mi mnafki km wanafki wengine tu 😹
Ni katika kuwamix maadui, hawatakiwi kukuzoea..!!
Mie ni manager wa teamNakuja we mmiliki wa timu mpk ukatae 😹😹
😂😂😂😂😂 jamaniii😹😹😹 Ndugu yangu leo nimeona pic ya maka bhana, nikawa namuita mshangazi ajionee uumbaji wa mchizi wetu mana kila siku tunaishia kumsoma vituko vyake..!!
Coca selfika ile siku ilinipita pic yako, kitambo sijaiona rangi ya pesa..!! 😍😂😂😂😂 em huko, aaah wapiii?!
Dr sijawahi bhanaa, 😂😂😂😂Ushabadili bwana coca? 😹😹😹
Dr umempeleka wapi tena??
Min mahaba yanam-stress mbele haoni 🤣
Wachaa wee, 😂😂😂😂Coca selfika ile siku ilinipita pic yako, kitambo sijaiona rangi ya pesa..!! 😍
Mimi ni bikra shibe😅Walahi siku zote najua We ni Bikra! Kumbe Ni kijana Wa hovyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
tulia tudake mistari dada au unaona gere 😆Kabembelezaneni pm hapa mnajichoresha 😹😹
Maka amejua unaenda home kwake, kapata jeuri, ukimkamata bichwa ulibane haswa mahi wangu.Leo unateseka mahi 😹😹