Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

si penzi jipya na wew au🤣🤣
😹😹😹
Yani nimecheka, babe wangu nilimtibua akaniblock na mimi nikadelete namba zake..!!

Baada ya siku 3 ananipigia anasema unaendeleaje swilati? Nikamuuliza wewe swilati yupi? Akasema nakuja kukuua Lamomy acha ungese..!! 😹😹😹

Nikamwambia bana wee km hujitambulishi nakukatia simu. 🤣
Dakika mbili huyu hapa kaja kufumania..!! 😹
Sasa mi kosa langu nini? Ukiniblock nakueka kundi la maex kiroho safi..!!
 
😹😹😹
Yani nimecheka, babe wangu nilimtibua akaniblock na mimi nikadelete namba zake..!!

Baada ya siku 3 ananipigia anasema unaendeleaje swilati? Nikamuuliza wewe swilati yupi? Akasema nakuja kukuua Lamomy acha ungese..!! 😹😹😹

Nikamwambia bana wee km hujitambulishi nakukatia simu. 🤣
Dakika mbili huyu hapa kaja kufumania..!! 😹
Sasa mi kosa langu nini? Ukiniblock nakueka kundi la maex kiroho safi..!!
kwahiyo hata namba za bebi wako ulikua hauzikumbuki au makusudi tu 🤣
 
Back
Top Bottom