min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,354
- 127,469
Kaka nakula vitu kitambo sana, sijui mpo wapi wana Monetary doctor Nikilewa mniacheKaka tuanze kunywa BIA
Kaka nakula vitu kitambo sana, sijui mpo wapi wana Monetary doctor Nikilewa mniacheKaka tuanze kunywa BIA
toba toba toba,,, si tulikubaliana jiefu hakuna wadada auHio ibumex mimi mwenyewe sikujua kama ni female..
hopefully atabadili jina la ID..
Nyumba kubwa ile, unipitie na mimi mamie tukamsaidie wote 😂😹😹😹
Mi hapa najipanga nikamsaidie usafi mana wifi kasafiri lazima nyumba itakua chafu 🤣
Mimi nitamfanyia usafi chumbani nishawahi 😹😹😹Nyumba kubwa ile, unipitie na mimi mamie tukamsaidie wote 😂
I'd yako ni ya kishenzi wewe badili tutoba toba toba,,, si tulikubaliana jiefu hakuna wadada au
Nyie ambao hamjitangazi kama mmefungasha mnakuwaga na balaa sio poa...bonge la dada anatakiwa awe amefungasha nyuma, sasa mimi ni afu lela ulela🤣🤣🤣🤣
Abadili jina la kijinga hiloHio ibumex mimi mwenyewe sikujua kama ni female..
hopefully atabadili jina la ID..
Mimi sifagilii ujinga unajua ephenUTANIUDHI..!
minI'd yako ni ya kishenzi wewe badili tu
nakazia dadaWewe mimi sina ugomvi na mtu, ushaanza kulewa Ita bodaboda ya mama Samia ikurudishe home..!! 😹😹😹
min -me bibie kasisitiza kwa herufi kubwa... achana nae utakuja kumuudhi mtoto mzuri..UTANIUDHI..!
Sitting room pambe tu, nikichoka makochi na mazulia yanafaa kupumzikia 😂Mimi nitamfanyia usafi chumbani nishawahi 😹😹😹
Wewe ukifanya sitting room sio mbaya 🤣
Coca ataosha vyombo jikoni..!! 😹
dada I noo yu😹😹😹
Ibu ntakubonda!!
Huyo kaanza kulewa mapema, ulaya bia wanapewa bure ujue..!! 😹😹😹nakazia dada
weeeee naijua hiyo 😆😆Nyie ambao hamjitangazi kama mmefungasha mnakuwaga na balaa sio poa...
Hebu tupia kwanza moja tuhakiki kwenye V.A.R..