makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,754
- 103,696
Lamomy, sina deni na weww
Hahahaa kabla jogoo hajawika mara tatu sisi manjesta tunabeba mbele yenuLabda mimba mkuu 😂🤣
Si nakuona hapo Ras umewakaaa😄 ila kichwa umepeleka wapi?Niambie rasii
Hahahaha sio wewe acha kumdanganya mtoto mzuri wewe😅Lamomy, sina deni na weww
Oversize jinsi kuna mtu naona kanimbia zinanipendeza😅Si nakuona hapo Ras umewakaaa😄 ila kichwa umepeleka wapi?
Haraka sasa 😍ngoja nipige
Hivi maka kwanini unapenda kunifanya mjinga? Hiyo pic iko wapi? 😏Lamomy, sina deni na weww
Mbona mi sijaona?Hahahaha sio wewe acha kumdanganya mtoto mzuri wewe😅
Picha ya mwanafunzi yupo class😅Hivi maka kwanini unapenda kunifanya mjinga? Hiyo pic iko wapi? 😏
Hujanichukulia nione 😥Picha ya mwanafunzi yupo class😅
Ndiyo imekukaa vizuriOversize jinsi kuna mtu naona kanimbia zinanipendeza😅
Lamo mtoto mzuri mwenye shingo ya twiga haupaswi asenane ikuue mchumba😅Hili chama litaniua ipo siku 😹😹
makaveli10 naomba jezi yangu hii nimeichoka
Nimefeli masta yupo fastaHujanichukulia nione 😥
Umeanza ubabaifu 😹😹Makubaliano ilikuwa tukichukua kombe..
😂🤣
Hahhahahaha wanadai hivyo ila mimi japo umri umeenda ila napenda swagas😅😅😅😅Ndiyo imekukaa vizuri
babe umependeza 😘Hili chama litaniua ipo siku 😹😹
makaveli10 naomba jezi yangu hii nimeichoka
Hahahaa kabla jogoo hajawika mara tatu sisi manjesta tunabeba mbele yenuView attachment 3439139
Kaka kumbe na wewe unamvizia mtoto mzuri lamo ? Si kuna kipindi ulisema ni kidume bwashee 🤣🤣🤣🤣( utani)babe umependeza 😘
Kama ni hivyo mbona hukunikumbusha!? 😂🤣Umeanza ubabaifu 😹😹
Ulisema kombe tuchukue tusichukue jezi iko pale pale maka 🤣
Mbeumo atawatesa sana bwasheeStriker ya magoli hiyo😂🤣🤣