makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,768
- 103,715
Imeisha hiyo, njoo uchukue uzi mpyaHili chama litaniua ipo siku 😹😹
makaveli10 naomba jezi yangu hii nimeichoka
Imeisha hiyo, njoo uchukue uzi mpyaHili chama litaniua ipo siku 😹😹
makaveli10 naomba jezi yangu hii nimeichoka
Kila siku unaeka mtu mpya
😳😲😲 Jama jama mbona nimewekaHivi maka kwanini unapenda kunifanya mjinga? Hiyo pic iko wapi? 😏
Ishi maisha yako, fanya kile Roho yako inapenda. Swaga hazina umri bhana wewe huwaoni hata Jigga na Ye?Hahhahahaha wanadai hivyo ila mimi japo umri umeenda ila napenda swagas😅😅😅😅
😹😹😹 The Gunners bana itaniua kweli ujueLamo mtoto mzuri mwenye shingo ya twiga haupaswi asenane ikuue mchumba😅
OK, ni kwa sababu binafsi napenda mambo mapya kila wakati😉Kila siku unaeka mtu mpya
Na itawapasua moyo 🤣😹😹😹 The Gunners bana itaniua kweli ujue
Ni mimi mzee, siwezi danganya huyu bintiHahahaha sio wewe acha kumdanganya mtoto mzuri wewe😅
Yani anaweka anafuta chap jamani ndo nini sasa??Nimefeli masta yupo fasta
We unirepu thubutuuu..!! 😹😹😹Kama ni hivyo mbona hukunikumbusha!? 😂🤣
Haya sawa njoo uichukue
Ile picha uliyonitumia mbona mbavu halafu hii ni model?OK, ni kwa sababu binafsi napenda mambo mapya kila wakati😉
🤣😂🤣🤣 Siwez kukurepu, si bora niugegede mkono tu 😂🤣We unirepu thubutuuu..!! 😹😹😹
Mkeo si kasafiri wewe, ugwadu wako unimalizie mie 🤣
Naijua hiyoooo
Mbavu ni kitu gani na model utakua umemaanisha nini ephen?Ile picha uliyonitumia mbona mbavu halafu hii ni model?
Wifi arudi kwanza ndo nije 😹😹Imeisha hiyo, njoo uchukue uzi mpya
Mbavu - misuli mingi mnene kiasiMbavu ni kitu gani na model utakua umemaanisha nini ephen?
Hamna tabu we njoo tu, wifi yako huwa anasafiri na NDONGA 🥒 langu 🤣😂Wifi arudi kwanza ndo nije 😹😹
Nimeona Maka 😍😍😍😳😲😲 Jama jama mbona nimeweka
😹😹😹 Acha tu tupo km vichaa tunaenda mbali halafu tunarudi na makopo..!!Na itawapasua moyo 🤣
Akhu! Naijua hiyo 😹😹🤣😂🤣🤣 Siwez kukurepu, si bora niugegede mkono tu 😂🤣
Yeah now mimi ni mwembamba coz nakunywa pombe kali now na tizi, hizi picha natuma siku za karibuni na za kipindi cha nyuma ila za kipindi cha nyuma jana nimefuta zote ,hivyo nizoee tu ila nashangaa iweje wewe uhoji wakati hadi sura unanijua?Mbavu - misuli mingi mnene kiasi
Model - mwebamba