Afu sijui kwanini sijawahi shughurika na hayo mambo.Kwakweli mambo ni mengi
Utasimamia uchaguzi upate Helaπ
Nasubiri we kwanza ,familia na ukoo tukifika utuwekeeπUkitupia niite, nami nitaitika.
Sawa ππPitia na kwangu, uje KUNISABAHI.
SS shoo so tunatafuta Hela tuAfu sijui kwanini sijawahi shughurika na hayo mambo.
Km usimamizi wa uchaguzi, sijui sensa, yaan sio vitu vyangu kabisaa. Lol
πππππ
Yaan siwezagi vitu vya connection na kujikomba kwa fulani.SS shoo so tunatafuta Hela tu
π
πππNchi yenyewe hii bila connection majangaπYaan siwezagi vitu vya connection na kujikomba kwa fulani.
Kunae mtu mwaka jana uchaguzi wa SZM, waligawana hela na WEO kisa kumuweka hapo
Sasa mie hayo mambo ya nn? πππππ
Hata km, kuna vingine ni vya kuviacha tyuuh.πππNchi yenyewe hii bila connection majangaπ
Jana ndio niliona tangazo lake nikakumbuka avatar Yako ni ya pirate of Caribbean ππHahahaha kwa nini umeuliza bwashee π
Sijui hata wapare hoyee ππ€£Ndio hao, afu kuna washana ni wasambaa?
Nahisi km vilee.
Sawa, mtaniita. πNasubiri we kwanza ,familia na ukoo tukifika utuwekeeπ
HahahahaJana ndio niliona tangazo lake nikakumbuka avatar Yako ni ya pirate of Caribbean ππ
ππππSijui hata wapare hoyee ππ€£
Ngoma za mapenzi sijui nazionaje
OK ngoja nitakua na kutag za kawaida.Ngoma za mapenzi sijui nazionaje
Za diniOK ngoja nitakua na kutag za kawaida.
Jana na leo min!!
Hahaha ile ilikua ya wakati husika madam tusubiri awamu nyingine tenaπJana na leo min!!
Nimepitwa rudia tena!
Vibaya hivoooo... Muda huo Ulikuwa na mudi ausio!! π Jamani nimekosa uhondo mimi ππHahaha ile ilikua ya wakati husika madam tusubiri awamu nyingine tenaπ
Hongereni sanaNdio kajukuu kakwanza lazima tukazingatieππ