cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Wapoo aiseee, ππππHakuna mangi mbovu πͺ
Nilisomaga chuo na mchaga wa rombo, tena shirima, mweusi tii, mrefu, mwembamba, afu mdada.
Ndo iwe kwa wakiume? ππππ
Wapoo aiseee, ππππHakuna mangi mbovu πͺ
ππWapoo aiseee, ππππ
Nilisomaga chuo na mchaga wa rombo, tena shirima, mweusi tii, mrefu, mwembamba, afu mdada.
Ndo iwe kwa wakiume? ππππ
ππππππ
We ukinibless na kapicha,Sawa π nimekupata
Mbona nimepita hapo hujaona?We ukinibless na kapicha,
Nitakufanyia maombi ya pastor KAPOLA
π
MD uko π₯π₯, afu km nakufananisha vile?
Sijaona mamii, ushafuta!? Sipo active sana kwenye uzi huuMbona nimepita hapo hujaona?
Nimekuona Meku, uko π₯π₯π₯
Sawa ngoja nipite chapSijaona mamii, ushafuta!? Sipo active sana kwenye uzi huu
Fanya kwa ajili yangu sekunde tu.
Maybe uliniona wapi ??MD uko π₯π₯, afu km nakufananisha vile?
Au ulibadili ID? mmmh
Vita ni vita mullahπMD uko π₯π₯, afu km nakufananisha vile?
Au ulibadili ID? mmmh
Nangoja hapa,Sawa ngoja nipite chap
Picha umefuta chap sijaionaaMaybe uliniona wapi ??
Ngoja nifute sasa π na wewe ufute hiyo quote mesejNimekuona Meku, uko π₯π₯π₯
Aaaah wapiii?! Sema nn nilizingua, afu mkaka yuko Co innocent, tatizo nilishawahiwa.Vita ni vita mullahπ
Hapa hapa JF kwa I'd ingineeMaybe uliniona wapi ??
Mimi Remy ongala natafuta mke πππ nimeona Mangi
Hapana I'd ni hii hii maybe tumefanana tuuHapa hapa JF kwa I'd inginee