cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Duuuh hongeraaa sanaaa!!Ilitokea ivyooo so ikabidi ni accept pia ukoo wetu ni mdogo natamani kua na watoto wengi.
Unajua Mimi na wife baada ya ndoa tulikaa kama miaka miwili bila mtoto so ndio tukapata so mtoto ana miezi sita akapata ujauzito tena
In short ni ivyooo