Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,211
😅😅😅Abeee
Hiyo fire ikooo wapiii
😅😅😅Abeee
Hiyo fire ikooo wapiii
Hautonenepa mpaka utakapofika kwenu Ahera nilimind ujue.View attachment 1284831
Mwenye anajua dawa ya kuwa chibonge 🙇 anipatie 💃
Mwenzako anakwambia fire fire... Mtoto JoJo, guu la champagne 😅😅
Naona kama anaongea mwenyewe jamani dear
Jamani 🙄🙄 hivi kumbe ulitake serious?! Oops! I am sorry dear 🙇🙇Hautonenepa mpaka utakapofika kwenu Ahera nilimind ujue.
MmmhhhMwenzako anakwambia fire fire... Mtoto JoJo, guu la champagne![]()
Nimewasilisha comment yake...
Natamani niwe kichana au dawa za kupakia hzo nywele au niwe dressing table kabisa
View attachment 1284831
Mwenye anajua dawa ya kuwa chibonge 🙇 anipatie 💃
Asante usirudie tena.Jamani 🙄🙄 hivi kumbe ulitake serious?! Oops! I am sorry dear 🙇🙇
🙇🙇🙇Asante usirudie tena.
Huko lawama 😅😅😅Hebu geuka tukushauri vizuri.
Mambo babe



mie kucheza huwa nacheza hata nikiwa sober maana napenda sana kucheza ila tatizo mdomo mdomo mdomo mdomo na ninavyoongea haraka sasa mwee 


Haha unaropokwa au sio...dah me siongeagi, cha zaidi nitageuka Shakira kama sio Ray Cafu usingizi + ...... If u know u know
![]()

Nani huyo? Au ni @karma
Eeehhh