Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sijui niamke niende sebuleni wife ni mjamzito anakaribia kujifungua na na first born binti yangu wa mwaka wapo sebuleni.

Maana usingizi hauji naona kama naboreka..
Wee binti ana mwaka, na mkeo ni mjamzito? Sijaelewa? Mbna unapandanisha km CD kwa DJ mixer?
😂😂😂😂😂
 
Wee binti ana mwaka, na mkeo ni mjamzito? Sijaelewa? Mbna unapandanisha km CD kwa DJ mixer?
😂😂😂😂😂
Ilitokea ivyooo so ikabidi ni accept pia ukoo wetu ni mdogo natamani kua na watoto wengi.

Unajua Mimi na wife baada ya ndoa tulikaa kama miaka miwili bila mtoto so ndio tukapata so mtoto ana miezi sita akapata ujauzito tena

In short ni ivyooo
 
Back
Top Bottom