100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,733
- 30,458
Ma Shaa Allah
Ma Shaa Allah
Emoj itakuua MkuuJumaa Karim..
Anne naomba selfie..Emoj itakuua Mkuu
Zipo huko juuAnne naomba selfie..
Tukutane kesho weekend Nolasco Pub hapo Mji Mwema!😹😹😹 Nilikuona li babu la kwenda kabisa..!!
Lini tena unakuja kigambonino?
Next time nitakupigia honi kwa fujo 😍
Sauwaa Wige nakusubiria kwa hamuuNaanzaje kukataa
Ulivyo Li zuri vile
Ngoja nitoke Kwa mangi
Utaliona Li mzuzu washa
Salama kabisa chiefKura hazikutosha Mkuu, Wajumbe wamesema hawako tayari kuongozwa na Mimi Mzee wa miaka 79 eti 😜
Nikawapa mfano wa mwenzetu Mu7, lakini hawakunielewa 🙌
BTW, habari za siku tele Mkuu, naona mmetuachia Wazee peke yetu hili jukwaa 🤗
mi amor😹😹😹 Nilikuona li babu la kwenda kabisa..!!
Lini tena unakuja kigambonino?
Next time nitakupigia honi kwa fujo 😍
Salama kabisa chief
Bado sijatoka mwakaleli.
Afande nilegezee kamba
Toa mdori sasa 😂
Hiyo nilitoa kipindi fulani nikapitia msuko suko bwashee 😅😅😅 sema mimi ni mafia nikapotezea tu😅Toa mdori sasa 😂
😂😂 msukosuko upi pm ilijaa sioHiyo nilitoa kipindi fulani nikapitia msuko suko bwashee 😅😅😅 sema mimi ni mafia nikapotezea tu😅
Hahahahaha kwanini ijae bwashee 🤣😂😂 msukosuko upi pm ilijaa sio
Au bas ila pita naked one timeHahahahaha kwanini ijae bwashee 🤣
Nipe ile kitu ya kunipandisha kisukari Mangi 😅 😎