Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bibi weee
Eti unazaa utadhani unashindana michezo ya umisenta sijui umitashumntA

Anamalizia na cheko lake hooohoy😆🙌🙌🙌🙌

Umeona ile ya wadada wa Dodoma eti wamepauka hawapaki mafuta😂😂😂
Nkamu mbona hii km unanisema mimi 😹😹
Hivi watu kuzaa wameeka sifa?
Halafu kila mtoto na baba yake na wote choka mbaya..!! 😹
 
Nkamu mbona hii km unanisema mimi 😹😹
Hivi watu kuzaa wameeka sifa?
Halafu kila mtoto na baba yake na wote choka mbaya..!! 😹
Anko T anasema mtu ana uwezo kidogo mzalie kidogo mtoto mmoja tu
Pea 1 ya soksi tabu ila unamzalia kama umechanganyikiwa,
Asubuhi pua hilo limevimba, mchana pua limevimba jioni pia limevimba
We mtotoo😂😂😂😂🙌🏿
Anko T anajua kuchamba jamani
Eti baadaye watoto wanakufunika na mito puani unakufa😂😂😂😂😂
 
Anko T anasema mtu ana uwezo kidogo mzalie kidogo mtoto mmoja tu
Pea 1 ya soksi tabu ila unamzalia kama umechanganyikiwa,
Asubuhi pua hilo limevimba, mchana pua limevimba jioni pia limevimba
We mtotoo😂😂😂😂🙌🏿
Anko T anajua kuchamba jamani
Eti baadaye watoto wanakufunika na mito puani unakufa😂😂😂😂😂
Hii imeenda 😹😹😹
 
IMG_20240723_142830_856.jpg
 
Dodoma imekua kuliko Mbeya ila huwezi kuta miti na hali ya hewa nzuri hivi katikati ya Jiji.
The same applies to DSM.
Ndio maana jua linawatandika hadi utosini.
 

Attachments

  • PXL_20250805_114929403.jpg
    PXL_20250805_114929403.jpg
    449.6 KB · Views: 7
Dodoma imekuwa kuliko Mbeya ila huwezi kuta miti na hali ya hewa nzuri hivi katikati ya Jiji.
The same applies to DSM.
Ndio maana jua linawatandika hadi utosini.
😆😆😆 huo sio ujanja wenu ni asili ya eneo husika tu🤣
 
Back
Top Bottom