Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Sehemu ambayo chino hapindui.Mifurushi 😹
Sehemu ambayo chino hapindui.Mifurushi 😹
😂😂!Mara ya mwisho ni pale oilcom Dodoma! Ulivyoniachia vumbi na karatarama ya Bk.
network ikitulia Wala usijali.😂😂!
Mambo mengi uzee nao umepamba moto basi tafrani tupu mnywaniii!
Hebu fanya jambo🤳 jioni yangu iishe Vizuri kwanza
Umeanza lini siasa mnywani lakini khakhakhaaa!network ikitulia Wala usijali.
Naweza nikashindwa ifuta kwa wakati nikipandisha.
Huko mjini nyie SI mna 5G.
Haha embu niuwone huo uzee mnywani.
Hahaha Wala usiwe na hofu.Umeanza lini siasa mnywani lakini khakhakhaaa!
Basi ngoja nisubirie hio network ikisetoooo
Mi mwenyewe huku Nyakiboo kwa mama Nyugumnya network kashesheeee!
Nkitupia ntakuita mnywani usijali
Nipo fresh ndugu yanguNiko poa sijui ww kaka
Huu Uzi kiboko
Huu Uzi kiboko
Wengine wanajificha na emoj
Wengine wanatuwekea kichwa tu,tunaona nywele kwa mbaaali
Mimi Niliona ila nishasahauHuko kwingine mlishaona miaka ya nyuma uzi ukiwa mpya mpya...
Mambo yako by the way!
Mimi Niliona ila nishasahau
Uzee huu😁
Hebu rudia tena
Aiseee😝😝
Sasa hivi mtakula selfika za hivi tu, nusu mtu nusu mandhari...
Chino wangu 😍😍Sehemu ambayo chino hapindui.
Nikirudi nikuletee nini.Chino wangu 😍😍
Niletee rafiki yake chino akiwa mzima wa afya 🤦♀️😹Nikirudi nikuletee nini.
Sasa hivi ni mwendo wa kuaga tu.
Natoka siku Ile Halili vizuri.Niletee rafiki yake chino akiwa mzima wa afya 🤦♀️😹
Vipi leo network bado inadesadesa mnywani?? Usiwaze limeisha hilooHahaha Wala usiwe na hofu.
Nasubiria mnywani.
Hujawahi niangusha.