Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,789
NajuaSitumii android 😹
NajuaSitumii android 😹
Yani mameni wote walikua wanakuhanya😹😹😹 Unajua walikua wananipa sifa za kijinga na mimi nikajikuta hakuna mwanaume wa kunimudu nikajikuta naweza kufanya lolote ndo nikamchombeza huyo demu..!!!
Ila mademu njaa sana aloo 🤣
Nimeamini pesa inaweza kufanya lolote aiseee..!!
Hapo mpaka kibunda ndo ufurahi.😊 😊 Thitaaaki
Mamen walikua machawa 😹😹Yani mameni wote walikua wanakuhanya
Wameshindwa kujilipua kama chino.
Acha kuwapiga spana wenzio hahaha
😹😹😹Hapo mpaka kibunda ndo ufurahi.
watoto wa kkoo punguzeni kutufokea.Mamen walikua machawa 😹😹
Ila bongo kuna vituko sana..!!
Nimewanywesha mbwa wale jana, halafu nilikua natumia card 🤣
Nikitulia niangalie salio, siendi tena pale watanikariri..!!
Hapa akili ya kikinga imenirudia pesa inaniuma 😹😹😹watoto wa kkoo punguzeni kutufokea.
Naziona dalili za wewe kumchezea chiino na kumuachaMi chino simuelewi anataka kuchezea usichana wangu tu 😥😹😹
Mambo magumu Bado bila bila niombeee.😹😹😹
Yani Sumbai huoni km chino ananichezea ila umeona mimi ndo namchezea kweli? 😹😹Naziona dalili za wewe kumchezea chiino na kumuacha
Pls usifanye hivyo
Nakuvumilia ila ukizipata unaenda kutafuta wadada wenye mitraco mikubwa 😹😹Mambo magumu Bado bila bila niombeee.
Sema mstahimilivu sana; endelea kumvumilia chino.
Kuna level ukifika kuhonga ni sifa.Hapa akili ya kikinga imenirudia pesa inaniuma 😹😹😹
Hivi wanaume mnahongaje?
Mpewe maua yenu, kumpa mtu pesa ambayo hakudai ni kipengele aiseee.!! 🤣
Mpewe maua yenu 😹Kuna level ukifika kuhonga ni sifa.
Na Ili usiumie zaidi.
Unawarushia wazee kwanza nyumbani hasa mama.
Hapa hata nikitumia Huwa najipa moyo si hata kipenzi changu mama ka okota kidogo Mimi kama Mimi hua inanipunguzia majuto.
😊 Lione kwanza
Umemvulia chino sana mwaka wa ngapi huu? Haha hata kabla the outbreak ya WW1 ya selfika.Nakuvumilia ila ukizipata unaenda kutafuta wadada wenye mitraco mikubwa 😹😹
Umeamua kunivuruga kabisa Leo haha😊 Lione kwanza