Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,030
- 95,555
I still repeat 🦅Unaiomba kijeshi, si unamjua...
Wala sijaisikiliza, huyu jamaa sijui amebadilikaje, hana vibe tena.Nili kuwa napitia rating za album mpya, mshamba_hachekwi odogwu missed kudadadeki
View attachment 3418287
burna Boy siku hizi hata mie simuelewi siku hizi.. sijui shida nini...Wala sijaisikiliza, huyu jamaa sijui amebadilikaje, hana vibe tena.
Nili jaribu kuipa sikio, especially ile Ngoma iliyo beba jina la album.Wala sijaisikiliza, huyu jamaa sijui amebadilikaje, hana vibe tena.
Alikuwa na mistari yenye maana, yenye dhamira, saivi ana-mumble tu kama rappers.burna Boy siku hizi hata mie simuelewi siku hizi.. sijui shida nini...
Karidhika labda..Alikuwa na mistari yenye maana, yenye dhamira, saivi ana-mumble tu kama rappers.
Ana jaribu ku Master genre tofauti tofauti, anzia kwenye I told them kuja hii ni zero effort.burna Boy siku hizi hata mie simuelewi siku hizi.. sijui shida nini...
Oya ile album ya love damini ni 🔥 🔥 🔥,Alikuwa na mistari yenye maana, yenye dhamira, saivi ana-mumble tu kama rappers.
Sema alianza kitambo sana kuimba genre tofauti na afro...Ana jaribu ku Master genre tofauti tofauti, anzia kwenye I told them kuja hii ni zero effort.
labda arudi kwenye afro beat, burna sio wa kukosa hit song kwenye album yake.
Sema alianza kitambo sana kuimba genre tofauti na afro...
alikuwa anaimba hiphop, RnB na reggae tofauti na Afro...
Kama ile nyimbo na marehemu AKA hakuimba Afro a ilikuwa kali.. jamaa uwezo anao.. atajipanga vizuri tu ..
View: https://www.youtube.com/watch?v=NIuXDU-V954
Alipita vizuri sana humo... hap ndipo nilianza kumpa attention burna boy...Hii hapa bonge la dude
View attachment 3418328
hii ngoma ni ya mwaka huu, from f1 soundtrack.Alipita vizuri sana humo... hap ndipo nilianza kumpa attention burna boy...
Ameua nyimbo kali..hii ngoma ni ya mwaka huu, from f1 soundtrack.
Burna boy kajaribu kutunisha misuli angalau.
mshamba_hachekwi
View attachment 3418333
Beat pia ni kali, nita itumia kwenye album yangu ya I still repeat 🦅Ameua nyimbo kali..
Inabidi uombe hati miliki kwa Burna Boy..Beat pia ni kali, nita itumia kwenye album yangu ya I still repeat 🦅
Dude sasa huku mortuary nani ata complain, honestly nawa andalia album vijana ili kuwa punguzia pain.Inabidi uombe hati miliki kwa Burna Boy..
Likely shida ni P. Diddy. Akina Mondi walikaribishwa chumbani ila hawakuingia japo baadaye walifanya mambo ambayo ni siri. Yeye huyu na gauni alivaa na mihereni akavaa na kujipodoa juu. May be his time for fame is up!burna Boy siku hizi hata mie simuelewi siku hizi.. sijui shida nini...
Umenifanya nitafute hio movie yenye soundtrack ya hii nyimbo yake... F1...Dude sasa huku mortuary nani ata complain, honestly nawa andalia album vijana ili kuwa punguzia pain.
Naama ya mbabe Brad Pitt, sema nafagilia need for speed ya jesse wa kwenye breaking bad.Umenifanya nitafute hio movie yenye soundtrack ya hii nyimbo yake... F1...