Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dr. Mariposa nikuchekeshe 😹😹
Jana nilienda live band, sasa bana mizuka nikajikuta natunza napaishwa pale Le madame bosslady Lamomy..!!

Ghafla nikapata machawa, saa ngapi nisimtongoze demu mmoja 🤣🤣
Nikapiga na vitraco vyake akajua mi lesbian, acha anigande 🤣🤣

Nyie mipombe sio mizuri unaweza kufanya vitu vya ajabu halafu ukajuta 😹😹
 
Thubutuu..!!
Mi sio mtoto 😹😹
Wewe na dadaako iko jambo..!!

Ndiomana wifi kisebengo kumbe mnanichiti wajinga nyie..!! 🤣
Sehemu zote Usha flashig.

Ila kwenye kwenye ukoo wa chino una kaza.

Embu acha kukaza tuenjoy maisha.
 
Dr. Mariposa nikuchekeshe 😹😹
Jana nilienda live band, sasa bana mizuka nikajikuta natunza napaishwa pale Le madame bosslady Lamomy..!!

Ghafla nikapata machawa, saa ngapi nisimtongoze demu mmoja 🤣🤣
Nikapiga na vitraco vyake akajua mi lesbian, acha anigande 🤣🤣

Nyie mipombe sio mizuri unaweza kufanya vitu vya ajabu halafu ukajuta 😹😹
Nipe namb yake
 
Dr. Mariposa nikuchekeshe 😹😹
Jana nilienda live band, sasa bana mizuka nikajikuta natunza napaishwa pale Le madame bosslady Lamomy..!!

Ghafla nikapata machawa, saa ngapi nisimtongoze demu mmoja 🤣🤣
Nikapiga na vitraco vyake akajua mi lesbian, acha anigande 🤣🤣

Nyie mipombe sio mizuri unaweza kufanya vitu vya ajabu halafu ukajuta 😹😹
sumbai nipeleke jicho la tatu kwa chief.

Si umeona nayopitia.
 
sumbai nipeleke jicho la tatu kwa chief.

Si umeona nayopitia.
Pesa plus pombe ni ushetani, ujue nimeamka ndo najiuliza hivi nilikua naenda kufanya nini??

Halafu yule demu ananiletea mapozi kabisa, sa ningemfanya nini jamani?!! 😹😹😹

Yeye mwenyewe alishangaa demu km mimi wa kukimbiliwa na mamen namfata yeye. Pombe hizi lol..!!
 
20250726_105457.jpg
 
Pesa plus pombe ni ushetani, ujue nimeamka ndo najiuliza hivi nilikua naenda kufanya nini??

Halafu yule demu ananiletea mapozi kabisa, sa ningemfanya nini jamani?!! 😹😹😹

Yeye mwenyewe alishangaa demu km mimi wa kukimbiliwa na mamen namfata yeye. Pombe hizi lol..!!
Hahaha
Usiniambie ulimbambia kisawa sawa
Nawe ukawa unamgeuza geuza. Unamkadiria.

Lini unanipeleka kwa chief?
Hata nikizipata chino ntaanzia kukukimbia wapi mtoto ulivyosimamia ukucha
 
Hahaha
Usiniambie ulimbambia kisawa sawa
Nawe ukawa unamgeuza geuza. Unamkadiria.

Lini unanipeleka kwa chief?
Hata nikizipata chino ntaanzia kukukimbia wapi mtoto ulivyosimamia ukucha
😹😹😹 Unajua walikua wananipa sifa za kijinga na mimi nikajikuta hakuna mwanaume wa kunimudu nikajikuta naweza kufanya lolote ndo nikamchombeza huyo demu..!!!

Ila mademu njaa sana aloo 🤣
Nimeamini pesa inaweza kufanya lolote aiseee..!!
 
Back
Top Bottom