Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,791
Ndio mbona kuanzia leo asione mama gwamaka kama unatak kuja 😂Weekend imeshaanza huko kwenu?
Ndio mbona kuanzia leo asione mama gwamaka kama unatak kuja 😂Weekend imeshaanza huko kwenu?
Haya acha nikoge nije kisiri siri 😅 na baMtu wangu naye asijueNdio mbona kuanzia leo asione mama gwamaka kama unatak kuja 😂
Kuna kitu nilitaka kuandika nikafuta 😅😅😹😹😹 Hamna nimesoma day mbona Halafu kata 🤣
Awaaaa swafiiii kabisa ni kiwizi wizi tyHaya acha nikoge nije kisiri siri 😅 na baMtu wangu naye asijue
Andika sasaKuna kitu nilitaka kuandika nikafuta 😅😅
Bro we baki Moonshiner tu 😅Mimi niliiga makaroni nilimwaga yote kumbe ni mavitu ya hovyo tu😅
Ahahah ni kama chatgptWe huyo Lamomy ana majibu unaweza lala data iko on kwa majibu yake 🤣
Tunasubiri free photo za vitambi ninavyobembea 🤣Tulijua tuko peke yetu kumbe mnatuzooom tu 🤣🤣🤣
Ila wanga mtamu jamani tuache utani 🤣🤣Ngoja nimalize kula, niko kwenye diet 😹
makaveli10 hivi group O na nyama tuna undugu? Yani nimeshindwa kula huo mchicha na mayai peke yake nimemwambia dada weka na nyama..!! 🤣
Haa! Nilikuwepo hapo mzee mwenzangu 🤣🤣
Kwanini umefuta? 😹Kuna kitu nilitaka kuandika nikafuta 😅😅
Nahisi nyota 🔯 zetu ni za simba 🦁 🦁♌Ngoja nimalize kula, niko kwenye diet 😹
makaveli10 hivi group O na nyama tuna undugu? Yani nimeshindwa kula huo mchicha na mayai peke yake nimemwambia dada weka na nyama..!! 🤣
😹😹😹 Nyoko we ndiomana damu zimeendana..!!Nahisi nyota 🔯 zetu ni za simba 🦁 🦁♌
Na tusiishie hapo tu, tuendane mpaka tuendane tena.😹😹😹 Nyoko we ndiomana damu zimeendana..!!
Umepita kwa da Marry lakini? 😹😹Na tusiishie hapo tu, tuendane mpaka tuendane tena.
Sijauona huo uzi, mie nikiingia JF nyuzi zitakazojileta ndio hizo hizo, ikinivutia nachangia.Umepita kwa da Marry lakini? 😹😹
Kakiwasha huko kuna mwana JF kakutana naye kwenye kibegi kuna pima maji na mwiko..!! 🤣
Hebu pitia ukatanue mbavu mshkaji wangu 😹😹😹Sijauona huo uzi, mie nikiingia JF nyuzi zitakazojileta ndio hizo hizo, ikinivutia nachangia.