Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,940
😹😹😹 Kuna siku niliiga nilitoa kitu hiko mwenyewe niliogopa..!!Najifunza youtube kupika , kwa kasi ya ajabu .
😹😹😹 Kuna siku niliiga nilitoa kitu hiko mwenyewe niliogopa..!!Najifunza youtube kupika , kwa kasi ya ajabu .
Sawa boss kubwa 😂Cha kuungua kitu gani? 😹😹
Mimi niliiga makaroni nilimwaga yote kumbe ni mavitu ya hovyo tu😅😹😹😹 Kuna siku niliiga nilitoa kitu hiko mwenyewe niliogopa..!!
Vimekaa kama pumb*uHivi kungwi hivi vidude vina kazi gani? 😹
ila wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😹😹😹 Kuna siku niliiga nilitoa kitu hiko mwenyewe niliogopa..!!
Mi sio boss ila jikoni sipapendi kwakweli..!! 😹Sawa boss kubwa 😂
😹😹😹 Halafu mi cha uvivu nayapenda hii nilijitahidi kupika..!!Mimi niliiga makaroni nimwaga yote kumbe ni mavitu ya hovyo tu😅
Nikajua mwiko, sasa nikajiuliza mbona una sehemu mbili? 😹😹Vimekaa kama pumb*u
We unahisi vitakua vya nini 🤣🤣🤣
Shida umesoma bweniMi sio boss ila jikoni sipapendi kwakweli..!! 😹
Ningejua kupika ningepata hata afya 😅😹😹😹 Halafu mi cha uvivu nayapenda hii nilijitahidi kupika..!!
weka sasa 😆Shwaaaa
Niliwapa mbwa wakavinusa wakaacha 😹ila wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sina msambwanda kama wako dada naogopa😅😅weka sasa 😆
Oa Mangi upate wa kukupikia acha kujitesa na majungu jikoni..!! 😹Ningejua kupika ningepata hata afya 😅
Cheupe dawa pita humu tupate taaSina msambwanda kama wako dada naogopa😅😅
Msambwanda gani buana, hao wanatania tu.Sina msambwanda kama wako dada naogopa😅😅
😹😹😹 Hamna nimesoma day mbona Halafu kata 🤣Shida umesoma bweni