min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,452
- 127,874
😂😂😂 now wamejaa mary akiniona kesho ata anzisha uziFanya kupita tena kama upepo nipoe maana nimeona vumbi tu
Daah kwa kweli kausha tu 😂😂😂😂 now wamejaa mary akiniona kesho ata anzisha uzi
Kesho mchan pakitulia niiteDaah kwa kweli kausha tu 😂
😁 si unajionea mwenyewe watu wapo kama mia hivi
Sawa usijali 😊Kesho mchan pakitulia niite
Nani akuanzishie Uzi we domozege,kutongoza hujui unabaki unachambana na mwanamke,Acha kujipa umuhimu 😂😂😂😂😂 now wamejaa mary akiniona kesho ata anzisha uzi
Nan huyo kakutana na mimi injinia naenda site 😂😂Umepita kwa da Marry lakini? 😹😹
Kakiwasha huko kuna mwana JF kakutana naye kwenye kibegi kuna pima maji na mwiko..!! 🤣
Nisamehe mimi 🙏🙏Nani akuanzishie Uzi we domozege,kutongoza hujui unabaki unachambana na mwanamke,Acha kujipa umuhimu 😂😂
Tufanye kesho mchana nitakuitaPita nakusubiria 😊
Hapo sawaTufanye kesho mchana nitakuita
Ngoja nikalale tu 🚶🏼♀️Hapo sawa
Kumbe nawe ulikwepo?Haa! Nilikuwepo hapo mzee mwenzangu 🤣🤣
Nilivaa chachacha za mwaka 47 😄
Nilikuwa nakunywa Wine 🍷, si unajua ni nzuri Kwa sisi Wazee 🤗Babu unakunywa nini? 😋