min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,437
- 127,816
ChapuAbee
ChapuAbee
Wait kwanza Mkuu nipo busy kidogo nakujaChapu
Nilitupia wewe ulikuwa wapi? 😹Na wewe tupia lamo
Sio vibaya hata sasaNilitupia wewe ulikuwa wapi? 😹
Nilitupia nikapita shwaah ila kuna chakubimbi aliniona akascreen shot..!! 😹😹Tupia wako kwanza
Mi sijaona, tupia sasa hivi niko hapa nimekodoa 👀Nilitupia nikapita shwaah ila kuna chakubimbi aliniona akascreen shot..!! 😹😹
Ngoja nimalize kula, niko kwenye diet 😹Sio vibaya hata sasa
Mboga za majani😋Ngoja nimalize kula, niko kwenye diet 😹
makaveli10 hivi group O na nyama tuna undugu? Yani nimeshindwa kula huo mchicha na mayai peke yake nimemwambia dada weka na nyama..!! 🤣
Kiive kwanzaChef wangu Mwachiluwi njoo u-guess tunapika nini leo.
View attachment 3409034
View attachment 3409036
Umegoma kabisa kuingia jikoniNgoja nimalize kula, niko kwenye diet 😹
makaveli10 hivi group O na nyama tuna undugu? Yani nimeshindwa kula huo mchicha na mayai peke yake nimemwambia dada weka na nyama..!! 🤣
😹😹😹 niutoe wapi sasa?Tupia wako kwanza
Tulia hapo hapo 😹Mi sijaona, tupia sasa hivi niko hapa nimekodoa 👀
Nasubiri kama nasubiria gari la helaTulia hapo hapo 😹
Njoo ule tayari nishaanza kufanya maangamizi.. 😹Mboga za majani😋
Cha kuungua kitu gani? 😹😹Umegoma kabisa kuingia jikoni
😋😋😋Njoo ule tayari nishaanza kufanya maangamizi.. 😹
Ss hivi napita shwaah 😹Nasubiri kama nasubiria gari la hela
unitag tuSs hivi napita shwaah 😹
Hivi kungwi hivi vidude vina kazi gani? 😹unitag tu
Najifunza youtube kupika , kwa kasi ya ajabu .Cha kuungua kitu gani? 😹😹