Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Usitumie koment yangu kufanyia dhambi, nami nikapata dhambi bila kufaidi.. kama dhambi ni bora jiifanye kweli πŸ˜‚πŸ€£

We unawajua mademu wa siku hizi, utamu wanautaka na pesa wanaitaka..
Ukishatuma pesa, hairudi hiyo.
Utapata ofa tu,
1. Siku yeye anautaka utamu,
2. Umemiss, anaweza kuja kukupa bure
Ila nawe unajiongeza, akikutunuku bure mara 3, mara 4 basi ya 5 unampa kifuta jasho.

Mwanzoni lazima umpe hela mpaka pale ajue siri iliyojificha ndani ya BOXER πŸ˜‚πŸ€£
Hapa ndio mtaenda sawa, pesa yako itakuwa chaguo la pili, cha kwanza utamu, ila ukimpa pesa halatai, na ukiwa huna anakupa bure bila masimamgo.
πŸ˜‚πŸ€£
Hii lazima niitendee dhambi inanyegesha bhana..!! 😹😹

Naimagine ndo umenikunja kweli sasa, mbona balaa sana..!! 🀣

Em selfika maka kwanza nikuone bhana..!!
 
Hii lazima niitendee dhambi inanyegesha bhana..!! 😹😹

Naimagine ndo umenikunja kweli sasa, mbona balaa sana..!! 🀣

Em selfika maka kwanza nikuone bhana..!!
Huwezi amini, mie ni mvivu wa kupiga picha kinooma...
Hata kwenye mitandao yangu ya kijamii, nina kauvivu.
Instagramara ya mwisho kupost tena picha yangu ilikuwa ni miaka mingapi sijui nyuma. Kama 2023 hivi na picha yenyewe ni ya 2020 kama sikosei
 
Huwezi amini, mie ni mvivu wa kupiga picha kinooma...
Hata kwenye mitandao yangu ya kijamii, nina kauvivu.
Instagramara ya mwisho kupost tena picha yangu ilikuwa ni miaka mingapi sijui nyuma. Kama 2023 hivi na picha yenyewe ni ya 2020 kama sikosei
Umeanza visababu 😞
Nipe handle nikakuone basi 😜
 
Maish mafupi haya, kula wida, akili ikae sawa.
Umenikumbusha kulikua na roommate wangu alikua anakula wida vibaya, nikimuomba nipige pafu moja anasema wewe kwa hizo akili zako utatupa kituko cha mwaka tujikute kwa milladayo..!! 😹😹😹

Alikua pisi ya moto shida yake mkoboaji bhana..!! πŸ˜₯
 
Umenikumbusha kulikua na roommate wangu alikua anakula wida vibaya, nikimuomba nipige pafu moja anasema wewe kwa hizo akili zako utatupa kituko cha mwaka tujikute kwa milladayo..!! 😹😹😹

Alikua pisi ya moto shida yake mkoboaji bhana..!! πŸ˜₯
hahaa...
Ungejichanganya tu, angekukoboa, ukabaki pumba tu.πŸ˜‚πŸ€£
 
Back
Top Bottom