makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,506
- 108,660
Mnooooo ๐คฃ๐๐Hili group lina ujinga mwingi..!! ๐น๐น
Mnooooo ๐คฃ๐๐Hili group lina ujinga mwingi..!! ๐น๐น
Yanii Muda huo uzi ukavamiwaaa nikasema min ๐๐๐๐๐๐๐๐!๐๐๐ mambo yakawa mengi tena nikaona isiwe tabu acha nighairi tu
Ni kweli lakini unasikilizia hata Dk 1 sasa wewe ni ile Sec Shwaaa ๐๐๐Si umesema mwenyewe " ni shwaa then unadelete" ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ
Tutakuwa na wanetu, bob Marley, 2pac, Peter tosh na jamaa zetu wemgineMaka yani nimerudia kusoma tena nacheka km chizi ๐น๐น๐น
Wavuta wida wote peponi..!! ๐คฃ
Hii lazima niitendee dhambi inanyegesha bhana..!! ๐น๐นUsitumie koment yangu kufanyia dhambi, nami nikapata dhambi bila kufaidi.. kama dhambi ni bora jiifanye kweli ๐๐คฃ
We unawajua mademu wa siku hizi, utamu wanautaka na pesa wanaitaka..
Ukishatuma pesa, hairudi hiyo.
Utapata ofa tu,
1. Siku yeye anautaka utamu,
2. Umemiss, anaweza kuja kukupa bure
Ila nawe unajiongeza, akikutunuku bure mara 3, mara 4 basi ya 5 unampa kifuta jasho.
Mwanzoni lazima umpe hela mpaka pale ajue siri iliyojificha ndani ya BOXER ๐๐คฃ
Hapa ndio mtaenda sawa, pesa yako itakuwa chaguo la pili, cha kwanza utamu, ila ukimpa pesa halatai, na ukiwa huna anakupa bure bila masimamgo.
๐๐คฃ
๐น๐น๐น We makaveli kweli unalitendea haki jina lako..!!Tutakuwa na wanetu, bob Marley, 2pac, Peter tosh na jamaa zetu wemgine
๐คฃ๐
Mimi pamoja na kusubscribe kabisa lakini wapiii kila nikija nakuta manyonya ๐คฃ๐คฃ๐คฃSijui niwe natembelea mara kwa mara, nyuzi nyingi sitembelei, mpaka nikifungua jf zijitokeze zenyewe, sijawahi kuingia humu maalumu kwa kusoma uzi fulani
Huwezi amini, mie ni mvivu wa kupiga picha kinooma...Hii lazima niitendee dhambi inanyegesha bhana..!! ๐น๐น
Naimagine ndo umenikunja kweli sasa, mbona balaa sana..!! ๐คฃ
Em selfika maka kwanza nikuone bhana..!!
๐คฃ๐คฃ๐คฃ hapo ndiyo imeisha hiyo mpaka siku nyingineYanii Muda huo uzi ukavamiwaaa nikasema min ๐๐๐๐๐๐๐๐!
Maish mafupi haya, kula wida, akili ikae sawa.๐น๐น๐น We makaveli kweli unalitendea haki jina lako..!!
Bhangi mwanzo mwisho..!! ๐คฃ
Umeanza visababu ๐Huwezi amini, mie ni mvivu wa kupiga picha kinooma...
Hata kwenye mitandao yangu ya kijamii, nina kauvivu.
Instagramara ya mwisho kupost tena picha yangu ilikuwa ni miaka mingapi sijui nyuma. Kama 2023 hivi na picha yenyewe ni ya 2020 kama sikosei
Inabidi ujibane humu humu, au watupe hint, muda gani tuvizie vizie๐คฃ๐Mimi pamoja na kusubscribe kabisa lakini wapiii kila nikija nakuta manyonya ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Unataka nimwage mchele kwenye kuku wengi!? ๐คฃ๐Umeanza visababu ๐
Nipe handle nikakuone basi ๐
๐๐๐ hatari sana sema kuna baadhi nishawahi kuwaoteaInabidi ujibane humu humu, au watupe hint, muda gani tuvizie vizie๐คฃ๐
Umenikumbusha kulikua na roommate wangu alikua anakula wida vibaya, nikimuomba nipige pafu moja anasema wewe kwa hizo akili zako utatupa kituko cha mwaka tujikute kwa milladayo..!! ๐น๐น๐นMaish mafupi haya, kula wida, akili ikae sawa.
Basi itupie hiyo hiyo ya 2020 bhana..!! ๐Unataka nimwage mchele kwenye kuku wengi!? ๐คฃ๐
hahaa...Umenikumbusha kulikua na roommate wangu alikua anakula wida vibaya, nikimuomba nipige pafu moja anasema wewe kwa hizo akili zako utatupa kituko cha mwaka tujikute kwa milladayo..!! ๐น๐น๐น
Alikua pisi ya moto shida yake mkoboaji bhana..!! ๐ฅ
๐ณ We, mnataka mtupe visimu vyenu, wengine upande wa mama ni drm remmy ongala, kwa baba ni masoud sura mbaya.Basi itupie hiyo hiyo ya 2020 bhana..!! ๐
Tupia pic nyamwi ๐นshwaaaaaaaa ๐๐
Smile it drive people crazy ๐คช