makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,430
- 108,444
Mnooooo 🤣😂😂Hili group lina ujinga mwingi..!! 😹😹
Mnooooo 🤣😂😂Hili group lina ujinga mwingi..!! 😹😹
Yanii Muda huo uzi ukavamiwaaa nikasema min 😏🐒🐒🐒🐒🐒😁😁!😂😂😂 mambo yakawa mengi tena nikaona isiwe tabu acha nighairi tu
Ni kweli lakini unasikilizia hata Dk 1 sasa wewe ni ile Sec Shwaaa 😂😂😂Si umesema mwenyewe " ni shwaa then unadelete" 🤣 🤣 🤣
Tutakuwa na wanetu, bob Marley, 2pac, Peter tosh na jamaa zetu wemgineMaka yani nimerudia kusoma tena nacheka km chizi 😹😹😹
Wavuta wida wote peponi..!! 🤣
Hii lazima niitendee dhambi inanyegesha bhana..!! 😹😹Usitumie koment yangu kufanyia dhambi, nami nikapata dhambi bila kufaidi.. kama dhambi ni bora jiifanye kweli 😂🤣
We unawajua mademu wa siku hizi, utamu wanautaka na pesa wanaitaka..
Ukishatuma pesa, hairudi hiyo.
Utapata ofa tu,
1. Siku yeye anautaka utamu,
2. Umemiss, anaweza kuja kukupa bure
Ila nawe unajiongeza, akikutunuku bure mara 3, mara 4 basi ya 5 unampa kifuta jasho.
Mwanzoni lazima umpe hela mpaka pale ajue siri iliyojificha ndani ya BOXER 😂🤣
Hapa ndio mtaenda sawa, pesa yako itakuwa chaguo la pili, cha kwanza utamu, ila ukimpa pesa halatai, na ukiwa huna anakupa bure bila masimamgo.
😂🤣
😹😹😹 We makaveli kweli unalitendea haki jina lako..!!Tutakuwa na wanetu, bob Marley, 2pac, Peter tosh na jamaa zetu wemgine
🤣😂
Mimi pamoja na kusubscribe kabisa lakini wapiii kila nikija nakuta manyonya 🤣🤣🤣Sijui niwe natembelea mara kwa mara, nyuzi nyingi sitembelei, mpaka nikifungua jf zijitokeze zenyewe, sijawahi kuingia humu maalumu kwa kusoma uzi fulani
Huwezi amini, mie ni mvivu wa kupiga picha kinooma...Hii lazima niitendee dhambi inanyegesha bhana..!! 😹😹
Naimagine ndo umenikunja kweli sasa, mbona balaa sana..!! 🤣
Em selfika maka kwanza nikuone bhana..!!
🤣🤣🤣 hapo ndiyo imeisha hiyo mpaka siku nyingineYanii Muda huo uzi ukavamiwaaa nikasema min 😏🐒🐒🐒🐒🐒😁😁!
Maish mafupi haya, kula wida, akili ikae sawa.😹😹😹 We makaveli kweli unalitendea haki jina lako..!!
Bhangi mwanzo mwisho..!! 🤣
Umeanza visababu 😞Huwezi amini, mie ni mvivu wa kupiga picha kinooma...
Hata kwenye mitandao yangu ya kijamii, nina kauvivu.
Instagramara ya mwisho kupost tena picha yangu ilikuwa ni miaka mingapi sijui nyuma. Kama 2023 hivi na picha yenyewe ni ya 2020 kama sikosei
Inabidi ujibane humu humu, au watupe hint, muda gani tuvizie vizie🤣😂Mimi pamoja na kusubscribe kabisa lakini wapiii kila nikija nakuta manyonya 🤣🤣🤣
Unataka nimwage mchele kwenye kuku wengi!? 🤣😂Umeanza visababu 😞
Nipe handle nikakuone basi 😜
😁😁😁 hatari sana sema kuna baadhi nishawahi kuwaoteaInabidi ujibane humu humu, au watupe hint, muda gani tuvizie vizie🤣😂
Umenikumbusha kulikua na roommate wangu alikua anakula wida vibaya, nikimuomba nipige pafu moja anasema wewe kwa hizo akili zako utatupa kituko cha mwaka tujikute kwa milladayo..!! 😹😹😹Maish mafupi haya, kula wida, akili ikae sawa.
Basi itupie hiyo hiyo ya 2020 bhana..!! 😍Unataka nimwage mchele kwenye kuku wengi!? 🤣😂
hahaa...Umenikumbusha kulikua na roommate wangu alikua anakula wida vibaya, nikimuomba nipige pafu moja anasema wewe kwa hizo akili zako utatupa kituko cha mwaka tujikute kwa milladayo..!! 😹😹😹
Alikua pisi ya moto shida yake mkoboaji bhana..!! 😥
😳 We, mnataka mtupe visimu vyenu, wengine upande wa mama ni drm remmy ongala, kwa baba ni masoud sura mbaya.Basi itupie hiyo hiyo ya 2020 bhana..!! 😍
Tupia pic nyamwi 😹shwaaaaaaaa 😁😁
Smile it drive people crazy 🤪