😅😅 hamna nilicho haribu maMtu, nilibadilisha simu, pasipo kuhamisha vitu. Password huwa sikalili, pia email niliyofungulia account ni ya mchongo.. hata ku reset password haiwezekani.. ndio imeenda vile.. karibu bubiki tupige nyagi maMtubaMtu tuanze taratibu, kisa cha kubadili ID ni nini?
Umeharibu wapi?