Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
☝️☝️☝️Nakusubiri hapa, nimekodoa macho
☝️☝️☝️Nakusubiri hapa, nimekodoa macho
Bado shape madam☝️☝️☝️
😁😁😁😁😁😁 shepu nitoe wapi mimi hahaha!Bado shape madam
Si unajua ugonjwa wa taifa
Ccy niko hapa uje uniblessUkija nistue nikubles sis
Sing'oki hapa😁😁😁😁😁😁 shepu nitoe wapi mimi hahaha!
Ngoja nicheki hata yakujibinua 😁😁 usitoke hapo
Dakika sifuri sis baki hapoCcy niko hapa uje unibless
Sikuhizi sina pozi la picha sis Brian Spilner !Ccy niko hapa uje unibless
Huna deni boss ledi
Wewe mzuri bhna😊
Gudnyt mama shingo😜😊😊😊
Santo sana mwanasheriaaaaa!Huna deni boss ledi
Wee ndio ulidinda kutupia jamani!!Wewe mzuri bhna😊
Siku moja nitatupia tenaWee ndio ulidinda kutupia jamani!!
Weka leooo mzunguuu!!Siku moja nitatupia tena
Naelewa naelewa😁😁🙌🙌🙌Kitrambii sis 😁!!
Nakwako pia kipenzi
😅😅 hamna nilicho haribu maMtu, nilibadilisha simu, pasipo kuhamisha vitu. Password huwa sikalili, pia email niliyofungulia account ni ya mchongo.. hata ku reset password haiwezekani.. ndio imeenda vile.. karibu bubiki tupige nyagi maMtubaMtu tuanze taratibu, kisa cha kubadili ID ni nini?
Umeharibu wapi?