Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Rudi nyumbani ukapumzike kaka![]()
Hawa watu kwanza wameni-block makusudi.
Rudi nyumbani ukapumzike kaka![]()
Unanibanika au sio??
Jukwaani, PM ni thread kwani!
Nilishawahi kukitest kizibo kimoja tu lakin 🙌🙌🙌🙌Subiri siku unywe vitoko ndio utajua maana ya pombe...hata nyumban unaweza potea njia![]()
Hahahaha, kumbe na wewe unakunywa pombe ,una test hadi kitoko ?Nilishawahi kukitest kizibo kimoja tu lakin![]()
AiseeSmirnoff black ice moja , nilimix na konyagi ndogo mbili, akili ziliruka ito siku nilikuwa kama bongo zozo
Hahah hiyo siku nilikuwa nakunywa Heineken afu nikaona kama inanicheleweshea vibe, nikapiga kitoko weweeee ila ndio Ilikuwa mwanzo na mwishoHahahaha, kumbe na wewe unakunywa pombe ,una test hadi kitoko ?
Fanya kama hujaziona anza na last pageYesu wangu Mungu baba wa mbinguni,, comments zote hizi naanzia wapi na ninamaliza saa ngapi kuzisoma mimi jamani..
Sisi tusio kunywa tuna coment wapi...Aisee
Humu leo ni pombe tu? Mnatutia kiu jamani
Kibandani kwa MangiSisi tusio kunywa tuna coment wapi...
Ahhh kumbeKibandani kwa Mangi
Sisi tusiokunywa pombe twende tukapige show ya nguvu mpaka majirani waombe poo kwa makelele...ili ugwadu uwesheKibandani kwa Mangi
Hahahaha, asee pole , vidude vya masela hivyo achana navyoHahah hiyo siku nilikuwa nakunywa Heineken afu nikaona kama inanicheleweshea vibe, nikapiga kitoko weweeee ila ndio Ilikuwa mwanzo na mwisho
Safi sana,napenda watu wanaogonga ugimbi kwa MangiKibandani kwa Mangi
Kwahyo unaka kunipokonyaSafi sana,napenda watu wanaogonga ugimbi kwa Mangi
Hahahaha, hapana kiongozi nimesifia tuKwahyo unaka kunipokonya
Miss uYesu wangu Mungu baba wa mbinguni,, comments zote hizi naanzia wapi na ninamaliza saa ngapi kuzisoma mimi jamani..