Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,482
- 203,155
Jumuiya rafiki... Jogging me bado sanaaa 😅Safi kabisa, umeamkaje Rafiki naona mapema, maandalizi ya jumuia? au jogging
Jumuiya rafiki... Jogging me bado sanaaa 😅Safi kabisa, umeamkaje Rafiki naona mapema, maandalizi ya jumuia? au jogging
Ni rahisi kusema.weee huo ni mziki mwingine
Vipi kumukumbu pia hupotea ukilewa?Wallah haki ya nani nilitoboa siri karibu zote na mimi nikilewa mdomo huwa hauna break,, japo pia mimi kunywa hadi kulewa ni mara chache mno na wala sina uraibu wa pombe kihivyo huwa sipendi kufikia hatua hiyo maana daah najijua..
Na ukinywa huwa mizuka ya kulika huwa inapanda asilimia ngapi? Ili siku nikutegea hahaha nile tunda kimasiharaWallah haki ya nani nilitoboa siri karibu zote na mimi nikilewa mdomo huwa hauna break,, japo pia mimi kunywa hadi kulewa ni mara chache mno na wala sina uraibu wa pombe kihivyo huwa sipendi kufikia hatua hiyo maana daah najijua..
Huo mchanganyiko ni babu kubwa mpaka k vant na konyagi wewe ni mzoefuWallah haki ya nani nilitoboa siri karibu zote na mimi nikilewa mdomo huwa hauna break,, japo pia mimi kunywa hadi kulewa ni mara chache mno na wala sina uraibu wa pombe kihivyo huwa sipendi kufikia hatua hiyo maana daah najijua..
Vipi kumukumbu pia hupotea ukilewa?
Oooh ,safi sana kama ni jumuia ,Mungu akubariki ,siku nyingine niite tuungane kusali jumuiaJumuiya rafiki... Jogging me bado sanaaa![]()
Hahahaha, kule mie ni mlinzi mwandamizi, nasimamia gwaride la UhuruKazi kule ndiyo umeshapoteza hivyo hahaha
Na ukinywa huwa mizuka ya kulika huwa inapanda asilimia ngapi? Ili siku nikutegea hahaha nile tunda kimasihara
Huo mchanganyiko ni babu kubwa mpaka k vant na konyagi wewe ni mzoefu
Napenda kuwa na partner mnywaji ili kama kuvunja chaga tuzivunje vuzuriAhaha kawaida siyo mzoefu
DuhNapenda kuwa na partner mnywaji ili kama kuvunja chaga tuzivunje vuzuri
HahahahaHaha nikilewa sikuwagi na hamu ya kulika,, na wala silikagi kimasihara.. nikijijua nataka kulewa huwa nanywea home siendagi kokote
Hapana Mkuu ,mie siko huko, kwanza domo zege ,Pili muogaKwahyo unaka kunipokonya
Napenda kuwa na partner mnywaji ili kama kuvunja chaga tuzivunje vuzuri
Hahaha kukaa nyumbani na kunywea nyumbani hiyo ni sababu unaogopa utaitoa kirahisi ukinyewea njeHaha nikilewa sikuwagi na hamu ya kulika,, na wala silikagi kimasihara.. nikijijua nataka kulewa huwa nanywea home siendagi kokote
Gonga savana ni light na still inalewwesha vizuriLol mie sipendi ulevi ila ladha ya hivyo vyombo ndiyo inanifanya nakunywa,, laiti kama vingekuwa havina vilevi yaani vingekuwa kama sharubati tu basi hela zangu zingekuwa zinaishia huko..