Selfika na JF: Snap it. Show it

Hee
Yesu wangu

Lini haya yametokea?

Ni id gani hiyo?

Ila watu wana hekaheka
wee mbonaa ni ya mwakaa janaa hii, na alishtukiwa na jamaa, baada ya hiyo siku kusahau kuweka hiyo settup.

Jamaniiiiii
 
jamaniii leo ntapasukaa mbavuu.
 
Hakuwa anaweka settup kuna dem alikuwa anampanga anaongea nao
sasa yulee aliyefunguaa uzi, c ndo alisema alikua anaweka settup, ile siku akajisahau, akashangaa jisauti ja jibaba hii hapaaa.

Jamaniii hii JF mbna ina manjegekaa hiviii? Woiiiiiiiih
 
Thubutuuuu, autoe wapii u tall? Ni kifupii, kina macho makubwaa, hata kwenye Gari hakuweza kushukaa,

Afu hapo unaambiwaa walikua wanaendaga had gym,
, nyiee mie sitakiiii, nimeokokaa.

Woiiiiiiih
Nambie koma shosti πŸ˜‚πŸ˜‚

Kwahiyo shem ana macho km ndubwi?! 😹
Na walikuwa wanamgombania kabisaa?!!
Nyie pesa hizi zinadhalilisha wadada wafanye kazi watabeba viemoro 🀣🀣🀣

Eeh gym walikuwa wanaenda kufanya mazoezi ya nini?? πŸ˜‚πŸ˜‚
Na wanaume wafupi wasivyojiamini sasa.!!
Kila demu anamtaka ili kuziba kasoro zake 😹
Wanajifanyaga lover boy na wanapenda kujisifia wanamiliki migobole kumbe hamna kitu.! Hivi mi nataka kusemaje?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
jamaniii leo ntapasukaa mbavuu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hii tabia naipenda yani temper ikiwa high kifuatacho kelbu..!
Kuna mtu alinitibua kuna siku nikasema ww ungekuwa karibu kofi ningekuwasha ungesimulia had vitukuu vyako..!!
 
🀣🀣🀣🀣 JF ina vituko sana..
Kuna member anaitwa yellow donat unamjua??
Namtafuta ana maubuyu mengi sana
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…we kweli uvumilivu huna, nimeandika tu mimi ndo kabisaa siwezi kujaribu kuwa na dogodogo na hizi dharau mtoto wa watu anaweza kujuta kuzaliwa, mi na wazee mpaka kifo kitutenganishe
 
Semaa chochotee unachotakaaa,

JF ni full heka hekaa mahiiiii.

Na alikua anawatafutia kazi, ndugu wa wake zakee, au marafiki wao.

ilaa selee, ananiacha hoii padogo tyuuh.
 
hii tabia naipenda yani temper ikiwa high kifuatacho kelbu..!
Kuna mtu alinitibua kuna siku nikasema ww ungekuwa karibu kofi ningekuwasha ungesimulia had vitukuu vyako..!!
nyiee mnanivunjaa mbavu ujue,
Woiiiiiiii.
 

Mahiiii usinifanyee nisemee nilichokuaa nawazaa.
Mxxxxiiiiieeeeew.
Unamjua? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nimeitafuta hiyo id haipo, kuna mtu kanitonya huyo pipo ana ramani yote ya kuchimba madini 😹
 
Sele yuko vizuri kawalambisha ajira mpk ndugu wa masuria yake awhhh apewe sifa zake huyu muungwana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sema kajipakulia minyama yani anawapanga leo nitoke na yupi akanipe mitikisiko ya Pwani 😹

Ila shangazi kupambana wangemfilisi mana shem anahonga sana.!! 🀣
JF story za sele tyuu.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…