Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Hawa hawana uwoga aisee hata utishe vipi 😀hawezi mm mwanasheria nipo
Hawa hawana uwoga aisee hata utishe vipi 😀hawezi mm mwanasheria nipo
Yaani acha kabisa nipo na mdhamini pembeni nadeka mpaka nadeka tena😊Mpendwa
Unakula bata tu🔥
Shangazi anatukubali sana leo atalala na viatu 🤣🤣🤣Shangazi anatudis ila anatukubali kiaina
Mwambie mnywani wako anilipe mshahara wangu 😂Udhaifu wa chino
Nilitaka nishangaeShangazi anatukubali sana leo atalala na viatu 🤣🤣🤣
😂😂😂 kapita kumbe?Nilitaka nishangae
Shangazi apite bila kucheka kweli!
Kicheko ni kama kikohozi
Huwezi ukakibana ukabaki salama
Nimemuona shemeji 🔥🔥🔥🔥🔥Yaani acha kabisa nipo na mdhamini pembeni nadeka mpaka nadeka tena😊
😂😂😂 kapita kumbe?
Shangazi rudi kwanza hapa kuna jambo nataka tu discuss
😂😂😂Anacheka tu bila vocha
Shangazi bhana
Anatuangusha,Akitendee haki hiki cheo cha ubossledi
Ngoja nimwambie aje kukuungisha mchuchuMwambie mnywani wako anilipe mshahara wangu 😂
Sitaki kuungishwa nataka mafao yangu, issue za biashara hizo zingine bana 😂😂Ngoja nimwambie aje kukuungisha mchuchu
Huyo inn ndo alikuambia chino ni bonge dah haha.Sitaki kuungishwa nataka mafao yangu, issue za biashara hizo zingine bana 😂😂
Chino selfika kwanza nione km bado umenenepa 😹
Typing error nilitaka kusema km umenenepa mana niliona pic yako ukiwa mwembamba 😂Huyo inn ndo alikuambia chino ni bonge dah haha.
Ipi iyo uliyoiona ili nisije irudia hapa.Typing error nilitaka kusema km umenenepa mana niliona pic yako ukiwa mwembamba 😂
Inni alituma pic zile mlizokuwa mnamtumia bana, haya selfika kabla sijaingia harusini basi
Hata nguvu za kuselfika ninazo basi kuna yoyote aliyetupia?Kapeace ndani ya mjengo😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tunasubiri Selfie
Na Bantu Lady naye tumemmiss sana jamani
Tubakancie Uzi na selfie zenu🔥
Nimepewa vyote ila utajiri nimenyimwa Mungu huyu haina shida lakini tutatumia utajiri wa mashemela, mke wa rais nae ni rais hivyo yaniBl aje na vocha kwanza tajiriiiiiiiiii toto la kimanga kabarikiwa uzuri mpk utajiriii malkia wa Sheba huyu.!!
Huyu Kapeace mahi wangu naye aje hapa tajirii anamiliki dollar tupu.! 😜
Waje matajiri wetu wa selfika, wamepewa uzuri mpk pesa awwwwh tuna raha humu 😹
Wifi? 😳Ipi iyo uliyoiona ili nisije irudia hapa.
I cant imagine ulivonoga leo
Embu nikuone nifurahi na wifi yako hapa.