Selfika na JF: Snap it. Show it

Hajawahi kushindwa
Shangazi ni mmoja tu wa kimataifa

Hii ndio ile comeback ya kibabe sasa tuliyokuwa tunasubiriπŸ”₯πŸ”₯
Shangazi hizi battle kwake km kumsukuma Mlevi mbona πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapo chap tunabeba kombe letu shem sele anatufata na ndinga lake awwwhee 😹😹

Wewe mpenda magari ukae mbele na kombe la ushindi, mi ntakuwa nampepea auntie kwa ushindi wa kishindo 😹😹
 
Shangazi atakubali kukaa nyuma sasa?
Au atamkalia sele wapakatiane

Mimi na siti ya mbele damudamu.


Ila hadi sasa shangazi bado ni bingwa mtetezi kama Mancity ilivyoing'ang'ania EPL
 
Mtoto maku sana yule kidogo tu anaomba picha za dusherere.

Vibomu sasa maninah zake sana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe ulituma dushe ngoja nimwambie anitumie wote mliotuma niwachabo 😹😹

Ini kweli kichaa yani anawaomba dushe wanaume wenzie khaaa.!! 🀣🀣🀣
 
Shangazi atakubali kukaa nyuma sasa?
Au atamkalia sele wapakatiane

Mimi na siti ya mbele damudamu.


Ila hadi sasa shangazi bado ni bingwa mtetezi kama Mancity ilivyoing'ang'ania EPL
Shangazi akikaa mbele atamfanya sele ashindwe kuingiza gia hips kubwa 🀣🀣🀣

Yeye akae nyuma huku niwe nampepea..!
Hivi shem anasukuma ndinga gani? Isijekuwa Lc 300 😜
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hivi akina Bantu wako wapi tuendelee na second round?
Sijui na wenyewe wamepotelea wapi?!
Au comeback ya shangazi imewaogopesha 🀣🀣🀣

Itakuwa nao wanajipanga wanapiga tiz kwanza.! Tuendelee kuwasubiri mi nipo mwingi leo washindwe wao tyuu.!!
 
Shangazi akikaa mbele atamfanya sele ashindwe kuingiza gia hips kubwa 🀣🀣🀣

Yeye akae nyuma huku niwe nampepea..!
Hivi shem anasukuma ndinga gani? Isijekuwa Lc 300 😜
Ngoja tukaulize kacoca
 
Sijui na wenyewe wamepotelea wapi?!
Au comeback ya shangazi imewaogopesha 🀣🀣🀣

Itakuwa nao wanajipanga wanapiga tiz kwanza.! Tuendelee kuwasubiri mi nipo mwingi leo washindwe wao tyuu.!!
Hivi Bantu ana haja ya Tiz kweli!?
Asituangushe

Tunasubiri picha
Comedian wake tumefikaπŸ”₯
Bantu Lady
 
Shangazi akikaa mbele atamfanya sele ashindwe kuingiza gia hips kubwa 🀣🀣🀣

Yeye akae nyuma huku niwe nampepea..!
Hivi shem anasukuma ndinga gani? Isijekuwa Lc 300 😜
Shangazi atakuwa anaona heri mumnyonge
Kuliko kuruhusu mimi nikae mbele kwenye gari yake na Sele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…