Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,944
Utazaa na nani mahi ๐๐๐๐๐ฅ๐๐ฅฐLooo hongera sn
Mungu nikumbuke na mie
Utazaa na nani mahi ๐๐๐๐๐ฅ๐๐ฅฐLooo hongera sn
Mungu nikumbuke na mie
Am good, and you.Good morning, how are you doing today?
wewe unatuletea lini mtoto umri unaenda uhooo ๐Ngabu una mtoto mzuri sana aisee ๐๐
Weeh!! Shangazi ana tetekuwanga? ๐ฅShangazi aliamka na tetekuwanga
Ngoja ziishe,atarudi alipoishia
I'm good thanks,Am good, and you.
๐๐๐Mwee ukipata kamuda nipe na mimi huo umbea
Junia wake alibanwa na tetekuwangaWeeh!! Shangazi ana tetekuwanga? ๐ฅ
Tumtumie pesa ya matunda apate nguvu mapema, hili pambano nataka liwe la kufungia mwaka ๐๐๐
Shangazi lazima achukue nakwambia ๐น
Huyo wa kumzalia ndio tatizo lilipo mdogo wangu ๐คฃ๐คฃ๐คฃwewe unatuletea lini mtoto umri unaenda uhooo ๐
๐๐๐ Nkamu ntakubondaJunia wake alibanwa na tetekuwanga
Ajabu mkemia wetu hadi tetekuwanga zimetaradadi mwili mzima wa Junia,haelewi kama ni zenyewe maskini.
Sijui amekapaka ile lotion ya tetekuwanga
Ngoja amalize kuuguza..
a sana ukimkosa mtafute ata beach boy unamtegea tu ikishaingia umwambii hata najua mtoto mmoja ua wakija mapacha huwezi shindwa mlea weweHuyo wa kumzalia ndio tatizo lilipo mdogo wangu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kuna waebrania ni kamzozo kumkabidhi mayai, acha niendelee kuangalia nikikosa nitaadopt kwan kuna shido?? ๐น
Nyooko kwelii wewee yani mi nikazae na beach boy? ๐mtoto wa adoption ni mbay
a sana ukimkosa mtafute ata beach boy unamtegea tu ikishaingia umwambii hata najua mtoto mmoja ua wakija mapacha huwezi shindwa mlea wewe
Kemia haiwezi kushindwa kutambua tetekuwanga hadi zimembana Junia mwili mzima.๐๐๐ Nkamu ntakubonda
Kwahiyo hakuna umuhimu wa kemia?!!
Itakuwa alivurugika kuuguza kazi ujue, ila Junia apate uponyaji wa haraka.!!
Shangazi arudi tunamujitaji sana kwenye hii battle ๐น
๐๐๐ Imbombo jilipo NkamuKemia haiwezi kushindwa kutambua tetekuwanga hadi zimembana Junia mwili mzima.
Na zinavyoleta homa acha kabisa.
Atakuja humu na blah blah zake eti yeye bila hata kampani anatamba
Hapo ni baada ya company zake zote kubuma.
adoption hunakuwa una uchungu nae sana ujue dam nzito kuliko maji ee mtoto wa kumzaa ni mtamu sana ukimuona unafarijika sana haswa afanane na wewe ukiwa unamuangalia unasema nimejizaaa au akifanana na baba watoto wako ukimuona unafarijika sanaNyooko kwelii wewee yani mi nikazae na beach boy? ๐
Point yangu hujaielewa, sitaki kuzaa na vichaa wala wanaume wa hovyo.!
Mtoto wa kuadopt ubaya wake nini??
Sema wamatumbi akili zenu mmezielekeza chini sana.!!
Hazitaki hizi mbichi shangazi๐๐๐ Imbombo jilipo Nkamu
Anavyopenda kampani yule weh asitudanganye hapa.!
Halafu odo Bl alikuwa shost yake naye waliishia wapi? ๐คฃ๐คฃ
Ila JF raha sana, humu tyuu.!
Haipoi wala haiboi
Wewe kumbe kiazi, aliyekwambia mtoto ukimzaa mwenyewe kwa uchungu ndio atakuwa mtakatifu Nani??adoption hunakuwa una uchungu nae sana ujue dam nzito kuliko maji ee mtoto wa kumzaa ni mtamu sana ukimuona unafarijika sana haswa afanane na wewe ukiwa unamuangalia unasema nimejizaaa au akifanana na baba watoto wako ukimuona unafarijika sana
hawa wa adoption labda umchukue akiwa kichanga lakin akijitambua anakuwa shida first hujui history ya familia alio tokea ipoje na wengine asili yao aiwaachi inawafwata unakuta ukoo wake una.asili ya uchawi so ni hatari some how
Basi nitakua mwanaume na mimi๐๐๐๐ maana nimetoka kwenye Safari nikahamia Heineken then WindhoekWindhoek nayo bia ya kiume sanaโฆ๐๐
Hiyo theory yako sii kweli mtoto awezi kujua vitu vya past kwenye familia yake bali anajifunza kwenye familia iliyopo present, hakuna mtu mwenye uwezo wa kuona past wazazi wake walikuwaje ili aige tabiaadoption hunakuwa una uchungu nae sana ujue dam nzito kuliko maji ee mtoto wa kumzaa ni mtamu sana ukimuona unafarijika sana haswa afanane na wewe ukiwa unamuangalia unasema nimejizaaa au akifanana na baba watoto wako ukimuona unafarijika sana
hawa wa adoption labda umchukue akiwa kichanga lakin akijitambua anakuwa shida first hujui history ya familia alio tokea ipoje na wengine asili yao aiwaachi inawafwata unakuta ukoo wake una.asili ya uchawi so ni hatari some how
Naona bado hakafikii utamu wa Windhoek ๐๐๐๐๐๐ huto tubia ukituendekeza utatamani morn ndo iwe breakfast yako ohhh ๐คฃ๐คฃ