Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Ngoja aje mwenyeweMm naomba muendelezo wa whatsap group😀😀😀
Lamomy
Hata mimi sijui hiyo stori,mara figo sijui ini
Yaani sielewi chochote
Ngoja aje mwenyeweMm naomba muendelezo wa whatsap group😀😀😀
Lamomy
Mjukuu mm na uzee huu 😂😂We acha tu mjukuu wangu.
Lamomy ndio comedian sasa😂Mnanifurahisha na maneno yenu. Hamjui tu. Dah mkianza msiache kunitag tu. Nicheke miye maisha yenyewe mafupi haya.
Napenda rangi unaonekana ujanani ulikuwa na jifua pana pana
Weee umenikosha sana hapo kweny kumkanda Mlibya..😃😃😃🙃 mtani..Dada nzuri ndani ya mjengo🔥🔥🔥🔥
Anaupiga mwingi kama mtani alivyochapa Al Ahly Tripoli🔥🔥🔥🔥🔥
Weka kitu dada black beauty 😍
Tusuuze macho
EwaaWeee umenikosha sana hapo kweny kumkanda Mlibya..😃😃😃🙃 mtani..
Ngoja nitafute pozi nitatupia soon
Mashabiki wa Simba hawanaga mbambambaNakazia Kalpana Kwa heshima na taadhima tunaomba utubariki tupate kula vizuri jioni bila wewe huu Uzi haunogi
Fanya mambo bas dadaUsinijaze basi sisy...😃😃😃
Washamfundisha uhuni, wapo 3 kaa mbali naoUsinijaze basi sisy...😃😃😃
Yani lazima atupie sie hatuna noma 😍Mashabiki wa Simba hawanaga mbambamba
Anatupia huyu🔥🔥
Nimetuma au haijaja?? Hahahahha
Wera weraaa roho imesuuzika
Imekuja dada AsanteNimetuma au haijaja?? Hahahahha