Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,314
- 80,008
Kunakuwa na option 2 pale thumb nini na hiyo full image, mi huwa nachagua full image ndo yakanikuta yale ya jana, sasa nikiona mnairudia rudia hiyo full image napata mashaka bado


Kunakuwa na option 2 pale thumb nini na hiyo full image, mi huwa nachagua full image ndo yakanikuta yale ya jana, sasa nikiona mnairudia rudia hiyo full image napata mashaka bado


Nami huchagua full image. Haina shida. Kwenye kufuta huwa tunaanzia hapa delete. Tuache hiyo njia. Tuanze na Edit, delete, save. Hebu jaribu hapo mtoto mzuri. Tuone uumbaji wa Muumba. Maana alikaa akakutengeneza ukatengenezeka 🥰🥰🥰🥰🥰Kunakuwa na option 2 pale thumb nini na hiyo full image, mi huwa nachagua full image ndo yakanikuta yale ya jana, sasa nikiona mnairudia rudia hiyo full image napata mashaka bado
Tumia hii option ni fasta shwaaKunakuwa na option 2 pale thumb nini na hiyo full image, mi huwa nachagua full image ndo yakanikuta yale ya jana, sasa nikiona mnairudia rudia hiyo full image napata mashaka bado

Ndio babe, nimekujaNasikia umekuja dar alafu unataka kurudi dom bila kunijulisha babe
Nitafanya hivi ila Msubiri mida ya wanga saiv siwezi kujaribu sumu haionjwi mpenziNami huchagua full image. Haina shida. Kwenye kufuta huwa tunaanzia hapa delete. Tuache hiyo njia. Tuanze na Edit, delete, save. Hebu jaribu hapo mtoto mzuri. Tuone uumbaji wa Muumba. Maana alikaa akakutengeneza ukatengenezeka 🥰🥰🥰🥰🥰
Situmii app
Hii ni TapatalkSitumii app
Naitafuta sana jf App ya Zaman siipati Naomba mwongozo aseee
Mbona umekuja kwa sili hivyo babe alafu unataka kukimbia bila kunitqfutaNdio babe, nimekuja
Dar....na ninajiandaa kurudi pia
Ndio inakuaje kuaje hapo?? Naomba elimu kuna muda nataka kuangalia vitu kupitia App ila nakwamaHii ni Tapatalk
Ngoja leo nikutafute babeMbona umekuja kwa sili hivyo babe alafu unataka kukimbia bila kunitqfuta
Kapeace just like you hachokeki kuangalika afu kajaliwa Babyface za kinyaru.Nami huchagua full image. Haina shida. Kwenye kufuta huwa tunaanzia hapa delete. Tuache hiyo njia. Tuanze na Edit, delete, save. Hebu jaribu hapo mtoto mzuri. Tuone uumbaji wa Muumba. Maana alikaa akakutengeneza ukatengenezeka 🥰🥰🥰🥰🥰
Ooh nyenzo zote nazitakaHii ni Tapatalk
Nikutumie number ya WhatsApp babe?Ngoja leo nikutafute babe
Amen. Namba ya wakala haijafanikiwa kunifikia. Barikiwa pia.Barikiwa sana wazee si ndo nyinyi sasa
Nenda Playstore download Tapatalk afu join kwa email yako unayotumia jf utatumia kama app jf ipo Tapatalk kama host na Kuna forums zingine mbalimbali za dunianiNdio inakuaje kuaje hapo?? Naomba elimu kuna muda nataka kuangalia vitu kupitia App ila nakwama
Umeonaee huyu ndio nembo yetu ya mtoto mkali wa Selfika. Na ni kazuri uwiii ngoja atuwekee moja achangamshe Selfika kwanza. Wait ChinoKapeace just like you hachokeki kuangalika afu kajaliwa Babyface za kinyaru.
Muambie aache uwaga pic yake ndo tunataka iwe dp ya selfika
Santo sana kwa mwongozo ngoja nifuate maelekezo yako nioneNenda Playstore download Tapatalk afu join kwa email yako unayotumia jf utatumia kama app jf ipo Tapatalk kama host na Kuna forums zingine mbalimbali za duniani
Mwe mwe mzee mkitaka niwe nawaamkia daily nipunguze na ukorofi basi wafanye hiki ulichoandika hapa,Kapeace just like you hachokeki kuangalika afu kajaliwa Babyface za kinyaru.
Muambie aache uwaga pic yake ndo tunataka iwe dp ya selfika